Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tule kilicho bora

Nilikuwa natia michapo na daktari wa binadamu na akanipa taarifa ya kushtusha kidogo. Eti kwa sasa magonjwa tuliyoyazoea kama malaria, kipindupindu na mengine tunayojua yanapungua, baada ya wananchi wengi kuelimishwa kuhusu kujikinga na magonjwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Leo hakuna stori, njoo tule gambe!

Hivi mlisikia ile ishu ya juzikati ya viungo ambayo kwa breini zenu ziro mliihusisha na uchawi kumbe ni ishu za hospito?

 

10 years ago

Michuzi

KILICHO BORAA ZAIDI

 Hali hapa itakuwa ngumu katikati ya barabara na  ni eneo la mistari ya pundamilia nani avuke na asivuke naona sasa wote wameona wavuke. Wazee wa kuchagua chagua wakiwa katika harakati za kupata kilicho boraaaa zaidi na ni saizi yake.Magari yakiwa katika hospitali yake na madaktari wakiwa katika shughuri ya kuyaweka sawa ili yaweze jongea kama mengine.(PICHA NA EMMANUEL MASSAKA GLOBU YA JAMII.)

 

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

Vijimambo

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kijiji kilicho Afrika Kusini chajiandaa kupambana na Covid-19

Kijiji kisicho na mgonjwa wa corona kinavyojiandaa kukabiliana na ugonjwa huo huku kikikabiliwa na changamoto ukosefu wa maji

 

10 years ago

Vijimambo

KIVAZI KILICHO TAMBA KWENYE KILIMANJARO MUSIC AWARD NI HIKI CHA MZAZI MWENZIE MH. SUGU


Baada ya Lile vazi alilovaa Siku ya All White Party ya Zari Kuleta Ngumzo Mitandaoni ..Leo Tena Mwanadada Faiza Ally Amekuja na Mpya Kwenye Tuzo za KTMA...Baadhi ya Watu Wamekerwa na Vazi Hilo na Kusema Yafuatayo:Angelayubu Loooh shoga ata kama umaarufu umezidi iyo sasa shombo
Jestina George Sina kawaida hii lakini leo wacha niseme Faiza jamani why?? Not on the red carpet my love Noti Raiti kabisa mamii ake!!! I appreciate ubunifu wako but this is a NO! NO! Juu na mbele sawa kidogo huko nyuma...

 

10 years ago

Vijimambo

BI REHEMA AMEPOTEA KWA YEYOTE ATAKAYEMUONA ANAOMBWA KURIPOTI KITUO CHA POLISI KIGAMBONI U KILICHO KARIBU

Bi Rehema Salum Msambya pichani juu amepotea tokea tarehe 16/10/2014 maeneo ya Kigamboni - Kisota karibu na Shule ya Sekondari ya Abdu jumbe. Siku hiyo alikuwa amevaa Dela Na Skintirt ya Rangi ya Blue. Bi Rehema ana Matatizo ya Akili. Yeyote atakayemuona anaombwa kutoa taarifa katika kituo cha Polisi Kigamboni au kilicho karibu  au Apige simu namba0712 22 77 220753 63 49 670712 70 77 870713 23 52 94

 

10 years ago

Vijimambo

Kilicho Mponza DIAMOND PLATNUMZ Tuzo za Kill Music Hichi Hapa, Wema na Jokate Watambiana Mabwana, Vanessa na Jux Wapakatana


Tuzo za Muziki za Kili 2015, Jumamosi ya wiki iliyopita zilitimua vumbi kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo maelfu ya Watanzania wanaopenda burudani walikuwa wakifuatilia mwenendo mzima wa tuzo hizo, ambapo msanii Ali Kiba aling’ara baada ya kunyakua tuzo tano na kumuacha mbali hasimu wake mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ aliyeambulia tuzo mbili tu.Mpango mzima ulianza, mishale ya saa tatu za usiku ambapo wasanii pamoja na wadau mbalimbali walijumuika...

 

10 years ago

Vijimambo

Meneja wa Diamond Afunguka Kilicho Sababisha Diamond Asifanye show London Juzi Usiku

Kutokana na tukio hilo, Meneja wa mwanamuziki huyo, Hamis Taletale maarufu Babu Tale ambaye hakuambatana naye, aliliambia gazeti hili kuwa Diamond alipokea mwaliko kutoka kwa promota huyo, lakini hakulipwa fedha hata kidogo, jambo ambalo lilimfanya ashindwe kufanya uamuzi wowote.“Diamond alipofika Uingereza yule promota alimdaka juu kwa juu kwa kuwa kule alikwenda kwa ajili ya shoo ya Ujerumani itakayofanyika usiku wa leo (jana) akimtaka afanye shoo jijini London, Uingereza, alikubali na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani