Tuliwabeza, sasa tunawasifu kuhusu kura ya maoni
Kama wanasiasa wetu wangekuwa ni watu wenye kufanyia kazi maoni yanayotolewa na wananchi pengine wangeepuka mambo mengi ambayo yanakuja kuwazonga au kuleta malalamiko baadaye.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Maoni ya Watanzania kuhusu kura za maoni
10 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s72-c/NEC(47).jpg)
TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s1600/NEC(47).jpg)
10 years ago
Habarileo24 May
Kura ya Maoni sasa hatihati
UWEZEKANO wa kufanyika kwa Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, umeanza kupungua na kusababisha Kamati Kuu (CCM) ya Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, kuagiza Serikali na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kutafakari upya kura hiyo.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Sep
Piga kura ya maoni sasa
Bonyeza hapa kupiga kura online
The post Piga kura ya maoni sasa appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
BBCSwahili08 May
Putin hataki kura ya maoni Ukraine sasa
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Sheria ya ndoa sasa kupigiwa kura ya maoni
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Kura ya maoni kuhusu Crimea si halali
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Ifanyike tafakuri kuhusu Kura ya Maoni