Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tume ya Jaji Warioba yatia fora Dar

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema mambo yanayotokea sasa nchini, kama viongozi kuwa na akaunti nje ya nchi na kudai ni ‘vijisenti’, Serikali kuingia mikataba yenye utata isiyohojiwa popote ni matokeo ya nchi kuwa na Katiba yenye maswali mengi kuliko majibu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mwanzo, mwisho Tume ya Jaji Warioba

Safari ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kukusanya na kuchambua maoni kwa ajili ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefikia tamati.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mchome aipongeza Tume ya Warioba

Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Lawrence Mchome ameipongeza Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kukubali kuingiza katika Katiba Mpya ibara inayotaka kuanzishwa kwa Mahakama ya Juu nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete hakuitendea haki tume ya Jaji Warioba

KILE kilichokuwa kikipiganiwa na Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, hadi kuvunja kanuni za Bunge hilo, kimedhihirika jana. Bado tunakumbuka jinsi Sitta alivyovunja kanuni kwa makusudi...

 

10 years ago

Mwananchi

Kwaya ya Makongoro yatia fora

Maudhui ya wimbo uitwao ‘Chezea Pengine’ yanayokosoa viongozi wasiojali wananchi yaliamsha shangwe kutoka kwa wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jana.

 

10 years ago

Habarileo

Misemo ya Kikwete yatia fora bungeni

MISEMO na mifano aliyotoa Rais Jakaya Kikwete wakati anahutubia Bunge jana ilikuwa kivutio kikubwa kwa wabunge hao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yatia fora Sierra Leone.

Shirika la afya ulimwenguni WHO limetoa ripoti juu ya nchi ya Sierra Leone kuzipiku kitakwimu nchi za Afrika Magharibi :Ebola.

 

10 years ago

Vijimambo

MIAKA 38 YA CCM YATIA FORA MJINI SONGEA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wakati akiingia kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCMMsanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond akiiingia uwanja wa maji maji akiwa juu ya gari.Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria.Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na kijana wa chipukizi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za maadhimisho ya...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YATIA FORA KATIKA MAONESHO YA UTAMADUNI NA UTALII CANADA

Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Canada kwa ushirikiano na The Canadian Comprehensive Auditing Foundation - La Fondation Canadienne Pour la Verification Integree (CCAF - FCVI Inc.), kwa pamoja wameandaa hafla ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchi za Tanzania, Senegal na Ghana.  Hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Canada pia imedhaminiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Canada.  Katika hafla hiyo ambayo iliambatana na utoaji wa mada juu ya utamaduni na utalii,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani