Tumechoka kuwazungumzia wakazi waishio mabondeni
LEO katika taarifa mbalimbali za vyombo vya habari, zimeeleza taarifa za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kutahadharisha uwezekano wa kuwapo mvua kubwa zaidi ambazo zinaweza kusababisha mafuriko mengine...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 May
JK: Wakazi wa mabondeni hameni
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wananchi wanaoishi mabondeni, wakubali kuhama, kwani Serikali itawapatia maeneo yaliyo salama ili kuepukana na adha ya mafuriko kila inapofika msimu wa mvua.
9 years ago
StarTV23 Dec
Wakazi wa mabondeni wapewa siku 14 kuhama
Serikali imesitisha kazi ya ubomoaji nyumba za wakazi wanaoishi maeneo ya mabondeni katika bonde la Mto Msimbazi jijini Dar Es Salaam kwa muda wa siku 14 ili kuwapatia nafasi ya kuondoka kwenye maeneo hayo kwa hiari.
Kazi hiyo ya kubomoa nyumba na vibanda vilivyojengwa kinyume cha sheria na maeneo oevu yasiyoruhusiwa kwa ajili ya makazi ya binadamu ilianza Novemba 18 mwaka huu.
Kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi na Mipangomiji namba 8 ya mwaka 2007 kifungu cha 30 imeleza kuwa hairuhusiwi wananchi...
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Tumechoka na vitisho hivi
MARA kwa mara watendaji na viongozi wa serikali wamekuwa na tabia ya kutoa vitisho na wakati mwingine kuvifuta na kuvifungia vyombo vya habari. Tabia hii kwa kiasi kikubwa imechangia kukifisha...
10 years ago
Mwananchi20 May
UCHAMBUZI: Tumechoka na sinema hii ya wabunge
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Tumechoka, sikio la kufa lisikie dawa sasa
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Tumechoka kweli, sikio la kufa lisikie dawa sasa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBs3*DhJcWCUjc2EurQ3MXPPf1rYs5qxy1GVJWzylLLXsUqUJb4XnydO1cIQvIwtKirn0J6ovAypwXUj68TsycD-/erick.jpg)
‘VIDEO QUEENS’ PICHA ZA UTUPU TUMECHOKA, TAFUTENI WIMBO MWINGINE!
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.