Tumedhoofisha shilingi yetu dhidi ya dola
TUNAPOZUNGUMZIA kuimarisha Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani tuna maana gani?
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 May
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani Shilingi inahujumiwa na Mabenki?
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani
Shilingi inahujumiwa na Mabenki? – Zitto Kabwe[1]
Katika ukurasa wangu wa facebook mnamo tarehe 25 Aprili 2015 niliandika kuhusu sababu za shilingi kuporomoka thamani na majawabu ya namna ya kurejesha thamani halisi ya sarafu yetu. Nilieleza “Shilingi kuporomoka dhidi ya dola na kuvuka 1$/2000TS kunasababishwa na sababu kadhaa 1) Woga wa uchaguzi na hivyo Dola nyingi kutoingia nchini (FDI etc) kusikilizia Serikali ijayo...
10 years ago
Mwananchi03 May
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Utegemezi umechangia kudhoofisha shilingi yetu
5 years ago
Michuzi“Nchi Yetu iko Salama dhidi ya Corona†– Dkt. Abbasi
Serikali imesema nchi iko salama dhidi ya ugonjwa wa CORONA na tayari imechukua hatua kadhaa za tahadhari ili kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa huo hapa nchini.
Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari leo jijini Dodoma, Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa, Serikali imeendelea kufanya jitihada mbalimbali za kuhakikisha kwamba ugonjwa huo sio tu hauingii...
10 years ago
MichuziBinti yetu Zahara kura hazikutosha dhidi ya Irene Uwoya Tabora
Na Mkala Fundikira wa TBN kanda ya MagharibiLeo hii mchana binti ya mpiga picha na blogger maarufu nchini Muhidin Issa Michuzi Bi Zahara Michuzi alishindwa kupata kura za kutosha kumwezesha kushinda nafasi ya ubunge wa vijana kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Tabora baada ya msanii wa filamu Bi Irene Uwoya kupata kura 34 kati ya 39 zilizopigwa.
Zahara ambaye ni mhitimu wa shahada ya uchumi toka chuo kikuu cha UDOM aliyakubali...
5 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3VBFmmSqIbU/VDr2r_pvjVI/AAAAAAAGpoU/kazx_JHtPiw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
10 years ago
Bongo515 Oct
Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg achangia shilingi bilioni 42 kusaidia mapambano dhidi ya Ebola
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-njTGwQt0x1g/U01kyDpp5RI/AAAAAAAFbAM/PZmbdJjBnCY/s72-c/01.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu na Utwala Bora yazindua taarifa ya ukaguzi wa vyombo vya dola dhidi ya watoto
![](http://3.bp.blogspot.com/-njTGwQt0x1g/U01kyDpp5RI/AAAAAAAFbAM/PZmbdJjBnCY/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-apqE2bvin3M/U01k1wgViNI/AAAAAAAFbAU/dzqTWjb2VZw/s1600/02.jpg)