Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumeua ushirika, tuhesabu maumivu-2

Wiki iliyopita niliahidi  kuendelea kuzungumzia ushirika, mkombozi wa wanyonge wakiwamo wa Kagera na kwingineko katika Tanzania. Ni mkombozi ambaye amekufa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA


Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufaransa: Tumeua wanamgambo wawili Mali

Vikosi maalum kutoka Ufaransa vimewauwa viongozi wawili wa wanamgambo kaskazini mwa Mali, imesema wizara ya ulinzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti ya maumivu

HATIMAYE Waziri wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, juzi aliwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali ambayo kwa mtazamo wa haraka haina jipya kwani imeendelea kuacha maumivu kwa mfanyakazi na mwananchi wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Gwajima maumivu

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
Ni maumivu. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kutoka Hospitali ya TMJ alikokuwa amelazwa kwa siku tano kwa kutumia baiskeli ya wagonjwa (wheelchair) kwenda Kituo cha Polisi Oysterbay kuhojiwa kwa mara ya pili.
Askofu Gwajima, alipandishwa kwenye baiskeli hiyo, baada ya kupelekewa na mmoja wa wafuasi ambaye alikuwa amevalia mavazi ya kichungaji.
Wakati akipelekwa katika gari Askofu Gwajima, alionekana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maumivu ya umeme 2014

MWAKA 2014 utaanza kwa maumivu kwa Watanzania baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuridhia maombi ya Shirika la Umeme (TANESCO) kupandisha gharama za matumizi...

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA

Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kukamata katika vifupa vilivyo kwa chini karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno. Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Alikiba — Maumivu

Huu ni wimbo mpya wa msanii Ali Kiba ambao umevuja unaitwa “Maumivu” Producer: Manecky Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Tanzania Daima

Usiogope maumivu ya leba

TUANZE makala na kifungua mada tukiwasikiliza washkaji wawili wakijadiliana jambo Fulani. Mshikaji 1: Nimefurahia kumsindikiza mke wangu huko kliniki ya wajawazito. Kumbe humo kuna vichekesho. Unajua mke wangu amesoma mpaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani