Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaransa: Tumeua wanamgambo wawili Mali

Vikosi maalum kutoka Ufaransa vimewauwa viongozi wawili wa wanamgambo kaskazini mwa Mali, imesema wizara ya ulinzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo wawateka watoto 10 Mali

Maafisa wa kijeshi nchini Mali wanasema kuwa watu waliokuwa na silaha wamewateka nyara watoto kumi na kuwaua wawili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ndugu wawili kutoka Ufaransa wapata dhahabu!

Vijana wawili wenye umri wa miaka 10 wamepata vipande viwili vya  dhahabu venye uzito kilo nzima kila moja.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumeua ushirika, tuhesabu maumivu-2

Wiki iliyopita niliahidi  kuendelea kuzungumzia ushirika, mkombozi wa wanyonge wakiwamo wa Kagera na kwingineko katika Tanzania. Ni mkombozi ambaye amekufa.

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

10 years ago

Bongo Movies

DUNIANI WAWILI WAWILI:Huyu Hapa Hana Hata Undugu na Wema Sepetu

Ule usemi wa duniani  watu wawili wawili umedhiiika kwa muigizaji wa bongo movies,Wema Sepetu.Je hii ni kweli?.Hebu kutana na huyu mwanadada anaetumiajina la TUERNY kwenye mtandao wa INSTAGRAM.Kizuri zaidi wema mwenye anamfahamu hii nikutokana na moja kati ya marafiki wa Wema Ku-comment kwenye picha ya dada huyu akidai kuwa dada huyu anafanana na Wema na dadae Wema Ku-reply kwa kuonyesha kuwa anamfahamu na anamuita mke mweza.....Hebuzicheki picha zake hizi na kisha useme kama kunaumuhimu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan:Wanamgambo kifungoni

Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS

Ndege za Marekani zimeshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic state kaskazini mwa Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Libya:Bunge lashtumu wanamgambo

Bunge jipya la Libya limeshtumu muungano wa wanamgambo ambao unajaribu kuuteka uwanja wa ndege wa mji wa Tripoli.

 

9 years ago

Habarileo

‘Elimisheni wanamgambo waache unyanyasaji’

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umezitaka Halmashauri za Wilaya, Manispaa, Miji na Majiji nchini kujipanga na kuwaelimisha wanamgambo waache mara moja tabia ya kuwanyanyasa wajasiriamali wakiwemo wamachinga na mamalishe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani