Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndugu wawili kutoka Ufaransa wapata dhahabu!

Vijana wawili wenye umri wa miaka 10 wamepata vipande viwili vya  dhahabu venye uzito kilo nzima kila moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Diarra ampoteza ndugu yake Ufaransa

lassana-diarra-new-photos-4PARIS, UFARANSA

KIUNGO wa klabu ya Marseille ya nchini Ufaransa, Lassana Diarra, amesema kwamba amempoteza ndugu yake katika shambulizi la kigaidi lililotokea juzi mjini Paris nchini humo.

Katika shambulizi hilo limepoteza maisha ya watu wengi huku zaidi ya watu 40 wakijeruhiwa mwishoni mwa wiki iliyopita.

Hadi sasa watu zaidi ya 127 wamepoteza maisha baada ya kutokea mashambulizi katika maeneo mbalimbali kwenye miji sita kwa wakati tofauti nchini humo.

Kupitia akaunti yake ya Twitter,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufaransa: Tumeua wanamgambo wawili Mali

Vikosi maalum kutoka Ufaransa vimewauwa viongozi wawili wa wanamgambo kaskazini mwa Mali, imesema wizara ya ulinzi.

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi wapora, waua ndugu wawili

NDUGU wawili wameuawa na majambazi waliovamia baa eneo la Mwananyamala kwa Mama Zacharia, jijini Dar es Salaam na kupora mkoba uliokuwa na fedha zaidi ya Sh milioni mbili.

 

10 years ago

GPL

WANACHUO WAWILI WA CHUO CHA CBE DODOMA WAPATA GPA YA 4.9

Mwanafunzi aliyehitimu shahada ya Uhasibu, Bw. Peragius  Cosmas na kupata  GPA 4.91 akipokea cheti cha pongezi kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha CBE Prof.Emanuel Mjema.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kizimbani kwa kuoa wanafunzi wawili ndugu

JESHI la Polisi Wilaya ya Nkasi, linamshikilia Pius Jacob, mkazi wa Kijiji cha Chala kwa kosa la kuoa mwanafunzi wa darasa la tano katika shule ya msingi Kabwe, wilayani Nkasi....

 

10 years ago

Michuzi

WANACHUO WAWILI WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) DODOMA WAPATA GPA YA 4.9

Bw. Peragius  Cosmas mwanafunzi aliyehitimu shahada ya Uhasibu na kupata  GPA 4.91 akipokea cheti cha pongezi kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha CBE Prof.Emanuel Mjema.Bi. May Issa  mwanafunzi aliyehitimu shahada ya kwanza ya Usimamizi wa manunuzi  na kupata  GPA 4.92 Akipokea cheti cha pongezi kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha CBE Prof.Emanuel Mjema.
Kwa kile ambacho kimeonekana ni tishio kwa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)  wanafunzi hawa  kutoka kampasi ya Dodoma  wameweza kupata ufaulu ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kuchimba dhahabu kutoka kwa Kinyesi !

Amini usiamini wanasayansi nchini Marekani wameanza mikakati ya kusafisha dhahabu kutoka kwa kinyesi cha watu.

 

5 years ago

Michuzi

DKT. NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA MASENETA KUTOKA UFARANSA

 Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) akiongea na Ujumbe wa maseneta sita (6) kutoka Ufaransa leo katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Ujumbe wa maseneta sita (6) kutoka Ufaransa, Bw. Herve Maurey (upande wa kulia mwa Naibu Waziri) akifafanua jambo wakati wa maongezi baina yao na Naibu Waziri, Dkt. Ndumbaro katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa maseneta kutoka Ufaransa,...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wadau wa muziki wapata msasa kutoka kwa meneja wa T.I, Jason Geter

Wadau mbalimbali wa muziki nchini leo wamepata fursa ya kusikia mawaidha kutoka kwa maneja wa msanii wa muziki kutoka Marekani, T.I., Jason Geter na kuzungumza na wadau wa muziki mbinu mbalimbali ili kuuinua muziki wa Tanzania. Meneja wa T.I. Jason Geter akizungumza na wadau wa muziki Dar Semina hiyo iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa muziki […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani