Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Wadau wa muziki wapata msasa kutoka kwa meneja wa T.I, Jason Geter

Wadau mbalimbali wa muziki nchini leo wamepata fursa ya kusikia mawaidha kutoka kwa maneja wa msanii wa muziki kutoka Marekani, T.I., Jason Geter na kuzungumza na wadau wa muziki mbinu mbalimbali ili kuuinua muziki wa Tanzania. Meneja wa T.I. Jason Geter akizungumza na wadau wa muziki Dar Semina hiyo iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa muziki […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Picha: Wadau wa muziki kutoka Marekani wawapa semina wenzao wa Tanzania

Wadau wakubwa wa muziki kutoka Marekani Terrance J, Ravi Shelton, Chaka Zulu na David Banner July 14 214 kwa pamoja wameendesha semina ya majadiliano ya namna ya ku market, ku promote ku ji brand na kujiuza. Semina hiyo ambayo kwa leo ilikuwa ni siku ya kwanza imehusisha wadau mbali mbali wa fani za sanaa nchini […]

 

10 years ago

Vijimambo

Picha za Baby Shower ya Rahima na Jason

  Muonekano wa Baby shower ya Rahima  na Jason iliyofanyika siku ya tarehe saba, mwezi wa pili katika mji wa Clarksburg kitongoji cha Maryland nchini Marekani, iliyoaandaliwa na ndugu na marafiki zake. Rahima na JasonDada wa Rahima, Bi Maryam kutoka North Carolina akisema neno la kuwa kushukuru wageni waalikwa. Pichani ni baadhi ya washiriki wa michezo iliyo chezwa katika baby shower hiyo.
 Kwa picha zaidi mtembelee Iskajojo Studios hapa

 

10 years ago

Dewji Blog

Picha za msiba nyumbani kwa aliyekuwa Meneja wa TIPTOP Connection Abdu Bonge

Abdu Bonge alifariki jana Nyumbani majira ya Jioni alipokuwa akiamulia ugomvi wa watu wake wa karibu ndipo alianguka vibaya kwenye sakafu na kupoteza maisha, Mwili bado uko hospitali kwa uchunguzi zaidi na taratibu zikikamilika kesho mwili utasafirishwa kuelekea Morogoro Mbuyuni Kilometa takribani 100 kutokea Morogoro Mjini ambako ni Nyumbani kwa Marehemu. kwa sasa msiba upo Magomeni Njiapanda ya Kagera maskani ya Tiptop Connection.PICHA ZAIDI INGIA >>HARAKATI ZA BONGO

 MB Doggy...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wa mafuta na gesi ‘wapigwa msasa’

KAMPUNI ya MDT kwa kushirikiana na Calderberg International Enegy Corporation imeandaa kozi maalumu kuhusiana na gesi na mafuta nchini kwa ajili ya wadau wa sekta hiyo. Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wa sanaa wapigwa msasa VVU

BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata), kupitia programu yake ya kila wiki ya Jukwaa la Sanaa, limetoa elimu kwa wasanii pamoja na wadau wa sanaa kuhusu virusi vinavyosababisha ukimwi (VVU)...

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana aonesha mkwanja aliovuna kwa kuongoza video za muziki (Picha)

12237498_1503919933268146_644522012_n

Mshindi wa tuzo za watu 2015 kwenye kipengele cha muongozaji wa video za muziki anayependwa, Hanscana ameonyesha sehemu ya pesa alizochuma hadi sasa kama ishara ya mafanikio katika kazi zake.

12237498_1503919933268146_644522012_n

Hanscana ambaye kwa mwaka huu anadaiwa kuwa mwongozaji wa video aliyefanya kazi nyingi zilizopata mafanikio makubwa ndani na hata nje ya nchi, hivi karibuni alishare picha hiyo kwenye Instagram na kuandika: Umaskini TUMEZALIWA NAO utajiri TUTAKUFA NAO.

11899570_893750300712894_420894317_n

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wadau tunajifunza nini kutoka kwa Diamond?

Wakati mwingine mtu mashuhuri anaweza kutoa somo kwa mamilioni ya watu, ikiwa atafuatiliwa kwa umakini. Hivi ndivyo inavyowapasa Watanzania kutafakari kwa kuangalia nini anachokifanya mwanamuziki Diamond Platnumz hasa katika upande wa kazi yake ya muziki.

 

11 years ago

Michuzi

HOJA YA HAJA KUTOKA KWA WADAU WA UGHAIBUNI

MIMI NI MTANZANIA...
Mnhomo Gwa Nzunzu ni Mtanzania aliyezaliwa Sengerema, Mwanza. Baada ya kuzaliwa wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa na miaka mitatu tu kutokana na ajali ya gari. Baada ya kufariki wazazi wake Nhomo Gwa Nzuzu alilelewa na bibi yake ambaye alimsisitizia sana apate elimu ili ajikombowe kimaisha. Kwa vile Nhomo Gwa Nzuzu hakutaka kumsikitisha bibiye aliamua maisha yake ni kitabu na kitabu na yeye.
Kutokana na juhudi zake za kujisomea Nhomo Gwa Nzuzu alifaulu darasa...

 

11 years ago

Michuzi

salamu za iddi kutoka kwa wanalibeneke wa Bukoba wadau

#‎BUKOBAWADAU‬ BLOG inakutakia sikukuu njema ya Eid-el-Fitr popote pale ulipo, na inawapongeza waumini wote wa dini ya Kiislamu kwa kukamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani