Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Wadau wa muziki kutoka Marekani wawapa semina wenzao wa Tanzania

Wadau wakubwa wa muziki kutoka Marekani Terrance J, Ravi Shelton, Chaka Zulu na David Banner July 14 214 kwa pamoja wameendesha semina ya majadiliano ya namna ya ku market, ku promote ku ji brand na kujiuza. Semina hiyo ambayo kwa leo ilikuwa ni siku ya kwanza imehusisha wadau mbali mbali wa fani za sanaa nchini […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Wadau wa muziki wapata msasa kutoka kwa meneja wa T.I, Jason Geter

Wadau mbalimbali wa muziki nchini leo wamepata fursa ya kusikia mawaidha kutoka kwa maneja wa msanii wa muziki kutoka Marekani, T.I., Jason Geter na kuzungumza na wadau wa muziki mbinu mbalimbali ili kuuinua muziki wa Tanzania. Meneja wa T.I. Jason Geter akizungumza na wadau wa muziki Dar Semina hiyo iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa muziki […]

 

10 years ago

Michuzi

Uongozi wa msanii T.I washiriki semina ya fursa Ndogo ya wasanii na wadau wa muziki ndani ya ukumbi wa Little Theather ,jijini Dar

 Meneja wa Msanii wa Kimataifa T.I anayetarajiwa kuwasili chini , kwa ajiri ya kutumbuiza kwenye Tamasha la Fiesta 2014 hapo kesho katika viwanja vya Lidaz Club jijini Dar, Jonson Geter wa kwanza kushoto akifafanua jambo moja ya swali lililoulizwa na mmoja  wasanii walioshiriki kwenye semina ya fursa ndogo ya Wasanii na wadau wa muziki iliyofanyika kwenye ukumbi wa Litle Theather,jijini Dar,Pichani kulia ni Prodyuza  mahiri wa Muziki wa hapa nchini anayemiliki studioo yake ya Bongo...

 

10 years ago

Vijimambo

SEMINA YA MANAGER WA T.I NA WADAU WA MUSIC TANZANIA.

Mapema leo Manager wa T.I,Jason Geter alikua na Semina na wasanii na wadau mbalimbali wa Music wa Tanzania kwenye ukumbi wa Littel theather jijini Dar es salaam, Jason alitoa somo kwa watu waliohudhuria semina hiyo ikiwa nipamoja na njia zinazoweza wasaidia wasanii wa Tanzania kupata soko la Marekani. Baadhi ya wasanii waliohudhuria semina hiyo. Msanii kutoka bendi ya skylight angela kushaba akiuliza swali. ...

 

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA FURSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Kushoto ni Dkt. Frank Forka ambaye ni mkurugenzi PGCEDC Africa Trade Office akielezea njia za kufuata kwa mwekezaji kutoka Tanzania anapokuja kutafuta au kufanya mazungumuzo na wawekezaji wa Kimarekani kwa ajili ya kuingia nao ubia kwa ajili ya kuwekeza Tanzania. Dkt. Frank Furka alisema jambo la kwanza muhimu ni kujifunza utamaduni wa wafanyabishara wa Kimarekani hasa inapokuja kwenye swala la muda, Mambo mengine ya kuzingatia ni ufafanuzi wa kina na uwazi wa fulsa unayoitafutia mwekezaji...

 

10 years ago

Vijimambo

SEMINA YA FULSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Kushoto ni Dkt. Frank Forka ambaye ni mkurugenzi PGCEDC Africa Trade Office akielezea njia za kufuata kwa mwekezaji kutoka Tanzania anapokuja kutafuta au kufanya mazungumuzo na wawekezaji wa Kimarekani kwa ajili ya kuingia nao ubia kwa ajili ya kuwekeza Tanzania. Dkt. Frank Furka alisema jambo la kwanza muhimu ni kujifunza utamaduni wa wafanyabishara wa Kimarekani hasa inapokuja kwenye swala la muda, Mambo mengine ya kuzingatia ni ufafanuzi wa kina na uwazi wa fulsa unayoitafutia mwekezaji...

 

10 years ago

Michuzi

Wadau wa Tanzania wakutana na Oprah winfrey nchini Marekani

Balozi wa Tanzania nchini Marekani,Mh. Liberata Mulamula na Afisa Mwandamizi wa Mambo ya Nje,Hassan Mwemeta pamoja na wadau wengine wakiwa katika picha ya pamoja na Mwanamama Oprah Winfrey kwenye hoteli ya Fairmount,nchini Marekani leo.

 

11 years ago

Michuzi

WADAU WA BANDARI NA RELI KUTOKA TANZANIA WAANZA ZIARA YA MAFUNZO UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai yenye rangi nyekundu) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa reli na bandari wa Ubelgiji na Tanzania walionza ziara ya mafunzo leo Ubelgiji. Ziara hiyo ya wiki moja ina lengo la kujifunza mbinu mbalimbali zitakosaidia kuboresha miundombinu ya reli na bandari Tanzania.

 

10 years ago

GPL

SEMINA YA FULSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Kushoto ni Dkt. Frank Forka ambaye ni mkurugenzi PGCEDC Africa Trade Office akielezea njia za kufuata kwa mwekezaji kutoka Tanzania anapokuja kutafuta au kufanya mazungumuzo na wawekezaji wa Kimarekani kwa ajili ya kuingia nao ubia kwa ajili ya kuwekeza Tanzania. Dkt. Frank Furka alisema jambo la kwanza muhimu ni kujifunza utamaduni wa wafanyabishara wa Kimarekani hasa inapokuja kwenye swala la muda, Mambo mengine ya kuzingatia...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Cassim Mganga atoa burudani ubalozi wa Tanzania nchini Marekani

Msanii wa muziki nchini Cassim Mganga ambaye kwa sasa yupo nchini Marekani amepata nafasi ya kutoa burudani ndani ya ubalozi ya Tanzania nchini Marekani huku waziri wa maliasili na utalii, Lazaro Nyalandu pamoja na balozi wa Tanzania, Bi Ribelata Mulamula wakihudhuria. Waziri Nyalandu (kulia)Kassim Mganga (katikati) pamoja na balozi wa Tanzania Marekani mama Ribelata Mulamula […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani