Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEMINA YA MANAGER WA T.I NA WADAU WA MUSIC TANZANIA.

Mapema leo Manager wa T.I,Jason Geter alikua na Semina na wasanii na wadau mbalimbali wa Music wa Tanzania kwenye ukumbi wa Littel theather jijini Dar es salaam, Jason alitoa somo kwa watu waliohudhuria semina hiyo ikiwa nipamoja na njia zinazoweza wasaidia wasanii wa Tanzania kupata soko la Marekani. Baadhi ya wasanii waliohudhuria semina hiyo. Msanii kutoka bendi ya skylight angela kushaba akiuliza swali. ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Picha: Wadau wa muziki kutoka Marekani wawapa semina wenzao wa Tanzania

Wadau wakubwa wa muziki kutoka Marekani Terrance J, Ravi Shelton, Chaka Zulu na David Banner July 14 214 kwa pamoja wameendesha semina ya majadiliano ya namna ya ku market, ku promote ku ji brand na kujiuza. Semina hiyo ambayo kwa leo ilikuwa ni siku ya kwanza imehusisha wadau mbali mbali wa fani za sanaa nchini […]

 

10 years ago

Vijimambo

Office Manager (Controller - Admin Manager - Car Sales)

JOB DESCRIPTIONYou will be responsible for ensuring that all Dealership transactions are processed accurately and timely in accordance our policies and procedures.  You will work closely with our leadership team.  To be successful in this position, you must be well-versed in all facets of accounting, cost control, collections, and margin expansion and financial controls. Being a proactive individual will make you stand out. You must possess proven leadership and coaching abilities with a...

 

10 years ago

Vijimambo

OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAANDAA SEMINA YA MABADILIKO WA TABIA NCHI KWA WADAU

Sehemu ya Washiriki wa semina ya mabadiliko ya Tabia Nchi inayofanyika mjini Morogoro. Semina hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Makamu wa RaisMgeni Rasmi ambaye ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais,Bwana Sazi Salula akifungua semina hiyo ya mabadiliko ya tabia Nchi.

Mtoa mada katika semina hiyo ya mabadiliko ya tabia nchi Dkt. Yohanna Shaghude akiwasilisha mada kwa Washiriki waliohudhuria semina hiyoMgeni Rasmi ambaye ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akiwa katika picha...

 

10 years ago

CloudsFM

Manager wa TI Alivyowasili Nchini Tanzania

Manager wa msanii T.I amewasili jana usiku tayari kwa maandalizi ya show ya Serengeti Fiesta Dar es Salaam - unaweza kufuatilia matukio yote live kupitia www.tanzaniabox.com

 

9 years ago

Dewji Blog

Hellofood Tanzania introduces a new Country Manager

Hellofood-Tanzania-11

hellofood the leading online food delivery company in Africa is pleased to announce the appointment of Ms. Nina Holmes as its new Country Manager for Tanzania. Ms. Holmes comes in to take over from Ms. Sherrian Abdul.

Ms Holmes is no stranger to hellofood, having worked previously as Head of Operations for hellofood Kenya. She comes in with a wealthy of knowledge, firm grounding and international experience in operations and customer service. These qualities will set Ms.Holmes in good stead...

 

10 years ago

Michuzi

Uongozi wa msanii T.I washiriki semina ya fursa Ndogo ya wasanii na wadau wa muziki ndani ya ukumbi wa Little Theather ,jijini Dar

 Meneja wa Msanii wa Kimataifa T.I anayetarajiwa kuwasili chini , kwa ajiri ya kutumbuiza kwenye Tamasha la Fiesta 2014 hapo kesho katika viwanja vya Lidaz Club jijini Dar, Jonson Geter wa kwanza kushoto akifafanua jambo moja ya swali lililoulizwa na mmoja  wasanii walioshiriki kwenye semina ya fursa ndogo ya Wasanii na wadau wa muziki iliyofanyika kwenye ukumbi wa Litle Theather,jijini Dar,Pichani kulia ni Prodyuza  mahiri wa Muziki wa hapa nchini anayemiliki studioo yake ya Bongo...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: Tanesco Manager Quizzed As Minister Pays Surprise Visit


Tanzania: Tanesco Manager Quizzed As Minister Pays Surprise Visit
AllAfrica.com
Mwanza — Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) Nyakato Zone manager King Fokanya yesterday found himself in a difficult situation after the minister for Energy and Minerals, Prof Sospeter Muhongo, paid a surprise visit to his office and asked him ...

 

10 years ago

Michuzi

BUNGE LAANDAA SEMINA MAALUMU KUHUSU UMUHIMU WA KUWA NA MPANGO MKAKATI WA MAWASILIANO NA NAMNA BORA YA KUPOKEA MAONI YA WADAU WAKATI WA KAMATI ZAKE

  Mkurugennzi msaidizi katika Idara ya Kamati kutoka Ofisi ya Bunge Ndg. Angumbwike Ng'wavi akitoa Mada kuhusu umuhimu kuwa na taarifa za  pamoja za kibunge kwa ajili ya wadau mbalimbali wa Bunge  na namna ya utekelezaji wake wakati wa Semina ya kuwajengea uwezo wadau wa Bunge kutoka Serikarini na taasisi binafisi. Semina hiyo imeandaliwa na Bunge kupitia mradi wake wa kuwajengea Wabunge na Watumishi uwezo unaofadhiliwa na UNDP.  Maafisa wa Serikali pamoja na Wadau mbalimbali wa Bunge...

 

10 years ago

Vijimambo

UFUNGUZI WA WARSHA YA WADAU KUHUSU “HUDUMA ZITOLEWAZO NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NA UAINISHAJI WA MAHITAJI YA WADAU”, HOTELI YA BLUE PEARL, DAR ES SALAAM, TANZANIA, TAREHE 24 MACHI, 2015

Mkurugenzi Mkuu TMA Dkt. Agnes Kijazi ambaye alikuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa na Uanishaji wa matakwa ya wadau,Hoteli ya Blue Pearl, Dar es Salaam, Tarehe 24 Machi 2015.Mkurugenzi wa Huduma za Utafiti na Matumizi TMA, Dkt. Ladislaus Chang'a akitoa ufafanuzi kwenye warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewaza na Mamlaka ya Hali ya Hewa na Uanishaji wa matakwa ya wadau,Hoteli ya Blue Pearl, Dar es Salaam, Tarehe 24 Machi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani