Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Tumieni mbegu zilizofanyiwa utafiti ili kuongeza mavuno’

Wakulima wameshauriwa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti na wataalamu ili waweze kupata mazao mengi na soko la uhakika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Makampuni ya utafiti yashauriwa kuongeza bidii kupata mbegu bora za kilimo

Na Nathaniel Limu, Singida

MAKAMPUNI yanayojishughulisha na tafiti mbali mbali za nafaka yameshauriwa kuongeza juhudi zaidi ili kupata mbegu bora zitakazowasaidia wakulima kupata chakula cha kutosha na kujikomboa kiuchumi.

Wito huo umetolewa hivi karibuni na Diwani wa Kata ya Mwasauya (CCM) tarafa ya Ilongero wilaya ya Singida, Seleman Ntandu wakati akizungumza kwenye kilele cha sherehe za wakulima wa kata ya Ikhanoda na Mwasauya.

Amesema ili kilimo kiweze kuwa na tija kwa wakulima hasa...

 

5 years ago

Michuzi

WIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyeshika miche ) akikagua kitalu cha miche ya michikichi inayozalishwa na Gereza Kwitanga kwa ushirikiano na TARI Kihinga.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu tawala Singida ataka mikakati kuwekwa kuongeza wakulima wanaotumia mbegu bora

DSC01960

Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye ufunguzi wa semina juu ya kuongeza upatikanaji wa mbegu bora na mbolea kwa wakulima wadogo wadogo kwa kuimarisha masoko ya pembejeo katika mikoa ya Singida na Dodoma.

Na Nathaniel Limu, Singida

KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, amewahimiza wadau mbalimbali wanaojishughulisha na sekta ya kilimo,kuweka mikakati ya kuhakikisha zaidi ya aslimia 85 ya wakulima wawe wanatumia mbegu bora,ili kuleta mapinduzi ya kweli ya...

 

5 years ago

Michuzi

Tunapaswa kujivunia kwa kuongeza eneo la uzalishaji wa mbegu, miche bora pamoja usajili wa Wakulima na watoa huduma za kilimo – Waziri Hasunga

Afisa Mawasiliano serikalini Wizara ya Kilimo Ndg Issa Sabuni (Mwenye Fulana) jambo mbele ya Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mwenye Tai) wakati wa uzinduzi wa mtandao wa kutoa habari (Kilimo Tv) uliofanyika katika ukumbi wa mikutano maarufu Kilimo IV Jijini Dodoma tarehe 8 Machi 2020. Wengine pichani ni Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya (asiye na Tai) na  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Prof Siza Tumbo (Mwenye kaunda suti). (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

 

11 years ago

Mwananchi

Tuufanyie kazi mpango wa EPZ ili kuongeza ajira

Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazokabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa ajira kwa vijana. Maana yake ni kwamba hali ya uchumi nchini haikui vizuri, hivyo inashindwa kusaidia wengi kupata ajira.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania kuboresha Miundombinu yake ili kuongeza kasi ya Uwekezaji

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Mhandisi Christopher Chiza, akitoa hotuba yake baada ya ufunguzi wa kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya nchi ya Comoro na Tanzania kwa wadau na wafanyabiashara kutoka Tanzania (hawapo pichani). Kongamano hilo limeanza tarehe 23 Aprili, 2015 likiwa na lengo la kufungua fursa mpya za biashara na uwekezaji nchini Tanzania na Comoro. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Mhandisi ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mambo ya kufahamu ili kuepuka athari na kuongeza ufanisi wa Wafanyakazi wa nyumbani

Kutokana na hali ya maisha kubadilika na kufanya wazazi wote wawili yaani baba na mama kulazimika kufanya kazi au kwenda kazini, jukumu la malezi ya watoto majumbani limebakia kwa kiasi kikubwa mikononi mwa wafanyakazi wa ndani “house girls”.

 

5 years ago

Michuzi

Jamii yatakiwa Kuwa na Utamaduni wa Kusoma Vitabu ili kuongeza Maarifa.


Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Emmanuel Temu akizungumza kwa niaba ya Mhe Dkt. Harrison Mwakyembe Waziri wa Wizara hiyo katika hafla ya uzinduzi wa Kitabu kinachoitwa “Rais Magufuli na Serikali yake walivyobomoa Hekalu na kulijenga upya”kilichoandikwa na Mw.Projestus Vedasto Kabagambe uliofanyika jana Jijini Dodoma.Mwl.Projestus Vedasto Kabambe wa shule ya Sekondari Viwandani ambaye ni mwandishi wa kitabu...

 

5 years ago

Michuzi

Ofisi za ukaguzi kujengwa nchi nzima ili kuongeza uhuru wa kufanya kazi


Na Amiri kilagalila,Njombe

Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali nchini Bw,Charles E Kichere,amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa ofisi ya Taifa ya ukaguzi mkoa wa Njombe inayoendelea kujengwa mkoani humo,huku akiagiza kukamilishwa kwa ofisi hizo kabla ya mwezi wa sita ili ziweze kutumika.

Akiwa katika eneo la jengo za ofisi hizo lililopo Lunyanywi halmashauri ya mji wa Njombe,Kichere amesema anahitaji majengo hayo kukamilika kabla ya mwezi wa sita ili watumishi wapate...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani