‘Tumieni NSSF kujikwamua’
WATANZANIA wametakiwa kutumia fursa zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi na kujipatia akiba, mafao na mikopo sawa na watu walioajiriwa. Rai...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
NSSF CUP Jambo Leo wakimbia uwanja, Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69...
10 years ago
Michuzi22 Mar
NSSF MEDIA CUP: Jambo Leo watia mpira kwapani Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
11 years ago
Habarileo10 May
Wakulima wahimizwa kutumia ardhi kujikwamua
PAMOJA na kuwepo kwa ugonjwa wa mnyauko wa migomba mkoani Kagera wananchi wametakiwa kutumia ardhi kujikwamua kiuchumi.
10 years ago
GPLJOKATE ATOA SOMO KUJIKWAMUA KATIKA UMASKINI
5 years ago
MichuziVIJANA WAHAMASISHWA UFUGAJI WA KUKU, KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Na. Edward Kondela
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewapa vifaranga vya kuku 540 kikundi cha vijana wajasiriamali ili kuhamasisha ufugaji utakaosaidia kuziba pengo la uhaba wa nyama ifikapo mwaka 2022 pamoja na kukuza sekta ya kuku nchini.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mazao ya Mifugo na Usalama wa Chakula na Lishe wa wizara hiyo, Bw. Gabriel Bura amekabidhi vifaranga hivyo mwishoni mwa wiki kwa wawakilishi wa kikundi cha vijana watatu wajasiriamali hafla ilifanyika Mbweni jijini Dar es Salaam....
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Repoa: Wananchi wachoshwa na ukata, wataka fursa za kujikwamua
9 years ago
StarTV01 Dec
Watanzania waaswa kutumia vizuri misaada ya wahisani kujikwamua kiuchumi
TASAF yasema Jamii nyingi za kitanzania zitaweza kujikwamua na umasikini kwa kutumia ipasavyo misaada wanayoipata kutoka kwa wahisani na hata mashirika ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali kubuni miradi mbalimbali itakayowasaidia kukuza vipato vyao.
Ni katika mpango wa TASAF wilayani Monduli mkoani Arusha wa kulipa kaya masikini katika maeneo mbalimbali nchini ili iweze kuleta tija katika jamii.
baadhi ya wananchi wa wilaya ya monduli katika kijiji cha mlimani waliopata fursa ya kupata ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ng_50n_Hyr8/XvJnh5nYqqI/AAAAAAALvHg/rgobkI1VYfgGguHLnf6ST7VqYHdrW5BjQCLcBGAsYHQ/s72-c/ee801213-129f-428b-b048-ffe7bf64823a.jpg)
VIJANA WATAKIWA KUTUMIA UJUZI WA MAFUNZO YA KILIMO CHA KISASA KUJIKWAMUA KIUCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ng_50n_Hyr8/XvJnh5nYqqI/AAAAAAALvHg/rgobkI1VYfgGguHLnf6ST7VqYHdrW5BjQCLcBGAsYHQ/s640/ee801213-129f-428b-b048-ffe7bf64823a.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) akieleza jambo alipokuwa akikagua kitalu nyumba kilichopo Nangara, Mkoani Babati. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Manyara Bi. Elizabeth Kitundu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/fd86c11c-deec-4cfe-8c89-cdb007f7145f.jpg)
Baadhi ya vijana wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipowatembelea vijana hao kukagua maendeleo ya mafunzo...
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Jinsi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ulivyosaidia kujikwamua katika umasikini Tanzania
Mmoja wa wanufaikaji wa mradi wa kunusuru kaya maskini mkazi wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Agnes Samson,akionyesha mradi wa Mbuzi aliouanzisha kwa fedha za TASAF. Nyuma yake ni Mratibu wa TASAF wilaya ya Mkalama, Athumani Jumanne Dulle.
Watanzania wamekuwa wakipambana kila siku ili kijikwamua kutoka katika umasikini uliokithili wa kukosa hata milo mitatu na mahitaji muhimu kama afya , maji , malazi , mavazi na elimu. Serikali ya awamu ya nne...