Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumuenzi Mwalimu wakati wote

Jana, Watanzania waliadhimisha miaka 16 ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere aliyefariki dunia Oktoba 14, 1999 katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas jijini London, Uingereza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa dhati

LEO Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka 16 kamili bila kuwa na mwasisi wake Baba wa T

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahandisi JWTZ watumike wakati wote

JUKUMU mojawapo la msingi la Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakati wa amani ni kusaidia mamlaka za kiraia kulinda usalama wa wananchi na mali zao na kufanya...

 

10 years ago

Vijimambo

MWALIMU ANAENDA NA WAKATI YANI KIDIGITAL ZAIDI

HEBU JIONEE MWALIMU HUYU HAPA LAZIMA WANAFUNZI WA KIUME WAHUDHURIA KIPINDI LAKINI WANAELEWAAALAKINI PIA INATEGEMEA NA DARASA ANALOFUNDISHA NI MAMBO YA KIDIGITAL HAYO FULL TOUCH SCREEN.


 

5 years ago

Michuzi

TARURA SIMIYU KUFUNGUA BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA MVUA KUZIFANYA ZIPITIKE WAKATI WOTE

Ujenzi wa daraja katika eneo la Mto Ndoba linalounganisha Mtaa wa Bunamhala na Majahida katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi ukiendelea ambao unatarajia kukamilika Mei 15, 2020 kupitia fedha za mpango wa dharura.

Mratibu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Simiyu, Eng. Dkt. Philemon Msomba akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja linalojengwa kwa mpango wa dharura katika eneo la Mto Ndoba ...

 

9 years ago

MillardAyo

RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake

Unakumbuka au umwahi kusikia zile headlines za mtu mnene kuliko wote duniani, basi imenifikia stori yake mpya japokuwa sio njema mtu wangu. Andres Moreno jamaa ambaye anashikilia rekodi ya kuwa mtu mnene duniani amefariki dunia December 25 siku ya sikukuu ya Chrismass. Stori kutoka indianexpress.com zinaeleza Andres Moreno ambaye alikuwa anatajwa kuwa na uzito wa Kilogram […]

The post RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto: Tumuenzi mama kwa Katiba bora

Zaidi ya wabunge 40 kutoka Bunge la Muungano, Bunge Maalumu la Katiba na Bunge la Afrika Mashariki, jana walihudhuria maziko ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Shida Salum huku mtoto wa marehemu, Zitto Kabwe akitaka mama yake aenziwe kwa kupatikana Katiba bora.

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo

Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.

 

11 years ago

Michuzi

Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyotakiwa kuchangia marehemu.  Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Missime amemtaja mwalimu aliyeuwawa kuwa ni Freddy Ndahani (29) mwalimu wa shule ya Hombolo.Kamanda  Misime amesema walimu hao wote wawili wanalikuwa wakiishi katika nyumba moja na walikuwa wakichangia bili ya umeme katika nyumba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani