TUNAJITAHIDI KUTEKELEZA SERA NA MIPANGO YA MAENDELEO JUMUISHI -TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xZ3rvvBaKiI/VhZreV44uGI/AAAAAAAH93U/1GxSgbq7qM8/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York Ikiwa ni Wiki moja kupita tangu Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali kutoka Mataifa mbalimbali Dunia, kuhitimisha ushiriki wao katika mikutano muhimu mikuu miwili, upitishwaji wa Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu na Mkutano wa 70 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Nchi wanachama wameingia katika hatua nyingine ya mikutano ya Kamati Sita zinazounda Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Kamati zinazounda Baraza Kuu na ambazo zimeanza mikutano yake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboTUNAJITAHIDI KUTEKELEZA SERA NA MIPANGO YA MAENDELEO JUMUISHI-TANZANIA
Na Mwandishi Maalum, New YorkIkiwa ni Wiki moja kupita tangu...
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Tanzania yajipanga kutekeleza Mpango mpya wa Maendeleo Endelevu (SDGs)
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza leo jijini Dar es salaam katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo Endelevu (SDGs).
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akizungumza katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo...
10 years ago
Habarileo25 Feb
Washauri serikali kutekeleza sera ya ujirani mwema
WADAU na vijana mkoani Kilimanjaro, wameishauri serikali kutekeleza sera ya ujirani mwema ya mwaka 1993-1994, ambayo inazungumzia majukumu ya hifadhi za utalii katika kuchangia maendeleo kwenye maeneo yanayozunguka hifadhi hizo.
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Fedha za sherehe zilizofutwa kutumika kutekeleza sera ya Elimu bure
Kamishna wa Bajeti kutoka Wizara Fedha Bw. John Cheyo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu taarifa za upotoshaji zilizoripotiwa na vyombo vya habari hapa nchini kuwa hazina yakauka, taarifa hizo ni za upotoshaji kwani mfumo wa Serikali wa bajeti unaiwezesha Serikali kupanga vipaumbele vya matumizi kulingana na bajeti ilivyopangwa ambapo fedha zinazokusanywa kupitia mfuko mkuu wa Serikali ndizo hutumika. Kushoto ni Kamishna msaidizi wa Bajeti Bw....
10 years ago
Dewji Blog07 May
Mipango na sera zitekelezwe kumuokoa mama na mtoto mchanga
Mratibu wa Mawasiliano na uhamisishaji wa mradi wa Mama Ye unaoendeshwa na asasi ya Evidence for Action linalofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID), Chiku Lweno akielezea jitihada zinazofanywa na mradi wa Mama Ye katika kukabiliana na vifo vya Mama na mtoto ambapo aliwataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuelemisha jamii ili iweze kuepukana na vifo vya mama na mtoto ambalo nalo ni janga la taifa.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IIFOCX-L2jc/VbtoSvpl7dI/AAAAAAAAtj0/CekHYbvf798/s72-c/shein.jpg)
SHEIN AANDAA MIPANGO NA SERA ZA KUSAIDIA VIJANA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-IIFOCX-L2jc/VbtoSvpl7dI/AAAAAAAAtj0/CekHYbvf798/s320/shein.jpg)
Dk. Shein alisema kuwa Serikali imeanzisha Mfuko wa kuwawezesha Wananchi Kiuchumi na tayari watu kadhaa wameanza kufaidika na Mfuko huo sambamba na kuwapatia mafunzo ya kitaalamu pamoja na kuvipatia vikundi vya ushirika...
10 years ago
Vijimambo06 Mar
Wizara ya Mambo ya Nje yajipanga kutekeleza Sera ya Elimu n Mafunzo ya Mwaka 2014
5 years ago
MichuziZanzibar kuendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure pamoja na kuwasafirisha Wagonjwa nje ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed huko Hospitali ya Rufaa Mnazi mmoja katika Wodi ya Wagonjwa wa Ngozi .
Alisema Serikali haijashindwa kuwahudumia wananchi wake hivyo si vyema kuisambaza picha ya Mgonjwa katika mitandao ya kijamii kwa nia ya kutafuta michango ya wafadhili...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0334.jpg?width=640)
MIPANGO NA SERA ZITEKELEZWE KUMUOKOA MAMA NA MTOTO MCHANGA