TUNAWEZA KUJIFUNZA KUTOKA UHISPANIA- BALOZI MANONGI
Na Mwandishi Maalum Tanzania inaweza kuongeza zaidi kasi yake ya ukuaji wa uchumi na maendeleo ya wananchi wake, kwa kujifunza uzoefu wa nchi nyingine marafiki kama vile Uhispania. Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, ameyasema hayo siku ya jumanne, wakati alipokuwa akichangia majadiliano ya mada kuhusu “Kuendelea kwa Pamoja: misaada ya maendeleo ( ODA), biashara na uwekezaji”. Muwasilishaji wa mada hiyo alikuwa ni Waziri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Balozi Naimi: Tuna ya kujifunza kutoka Ethiopia
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya Corona: Vitu gani tunaweza kujifunza kwa nchi ambazo zimepambana mapema na corona?
10 years ago
MichuziAnkal benet na balozi manongi
9 years ago
Vijimambo15 Oct
Tanzania na harakati dhidi ya mauaji ya Albino: Balozi Manongi
Balozi Tuvako Manongi, mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa. (Picha:UN/Idhaa ya Kiswahili/Joseph Msami)
Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi amezungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya mauaji ya albino nchini Tanzania na kile ambacho kinafanyika kuondokana na vitendo hivyo ambavyo ameviita ni janga. Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa alizungumza na Balozi...
10 years ago
VijimamboUVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI-BALOZI MANONGI
10 years ago
MichuziUVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI - BALOZI MANONGI
10 years ago
MichuziMISHENI MAALUM ZA KISIASA ZIWE WAZI NA JUMUISHI-BALOZI MANONGI
Jana ( Jumatano ) Baadhi ya wajumbe wa Tume hiyo akiwamo Bw. Pascoe walikutana katika...
10 years ago
MichuziBalozi Manongi aiongoza Kamati ya Sita ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Tuliyoshindwa kujifunza kutoka Azimio la Arusha