Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunaweza kuzuia ukatili kwa wanafunzi?

Kushughulika na ukatili wa kijinsia kunajumuisha kufanya mambo mbalimbali na aghalabu yanayochanganya. Hebu kitafakari kisa hiki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ya Tanzania, UNICEF waendesha warsha kwa vyombo vya habari kuzuia ukatili kwa watoto

 

Julieth Swai Mwakilishi kutoka UNICEF akizungumza jambo.

Baadhi ya washiriki wa Warsha wakifuatilia kwa makini.

Mmoja wa  washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo.

Kimela Bila Mwandaaji wa Kipindi cha Walinde Watoto akizungumza katika Warsha hiyo.

Mathias Haule, Afisa Maendeleo ya Jamii maswala ya Ukatili dhidi ya Watoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akielezea Sheria ya Mtoto.

Neema Kimaro, Mratibu wa kipindi cha Walinde Watoto kutoka True...

 

10 years ago

Michuzi

WAMA WAKISHIRIKIANA NA ENGENDER HEALTH WAANDAA SEMINA YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI ZA WILAYA YA TEMEKE.

  Meneja Uragibishi na Mawasiliano wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Ndugu Philomena Marijani (aliyesimama)akitoa maelezo mafupi kuhusu semina ya siku 5 kwa wanafunzi wa Shule za Sekondari katika Wilaya ya Temeke itayozungumzia uzuiaji wa mimba za utotoni kwa wanafunzi wa wilaya hiyo. Semina hiyo inafanyika katika Shule ya Sekondari Kibasila kuanzia tarehe 13 hadi 17.4.2015.   Baadhi ya wanafunzi na walimu kutoka Shule 11 za Sekondari katika Wilaya ya Temeke wakisikiliza hotuba ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMBUENI JUHUDI ZETU KUZUIA UKATILI DHIDI YA WALEMAVU WA NGOZI-TANZANIA

Na Mwandishi Maalum, New York


Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  imesisitiza haja na umuhimu wa Jumuiya ya Kimataifa ya kutambua mchango unaofanywa na serikali   wa kukabiliana na vitendo vya kikatili  dhidi ya  wananchi  wake  wenye  matatizo  ya   ulemavu wa ngozi ( albino)

Wito huo  wa Tanzania umetolewa  mapema  wiki hii ( Jumanne) wakati   Wajumbe wa Kamati ya Tatu ya  Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa  walipopitisha kwa  kupiga kura,  Azimio  linalotaka   Juni    13 ya  kila mwaka iwe ni...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Ndugu Sophia Mjema akilakiwa na Dkt. Martha Kisanga, Meneja wa Kanda ya Pwani wa Shirika la Engender Health mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Shule ya Sekondari Kibasila kwa ajili ya kufunga rasmi mafunzo ya siku 5 yaliyohusu mradi wa kuzuia mimba za utotoni katika Shule za Sekondari katika Wilaya ya Temeke tarehe 17.4.2015. Waliosimama katikati ni Ndugu Donald Siliva, Afisa-Elimu Sekondari, Wilaya ya Temeke na Dkt. Sarah Maongezi, Mkurugenzi wa Afya kutoka...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wanafunzi wadungwa sindano kuzuia mimba


NA MWANDISHI WETU
WAKATI taifa likihaha kusaka tiba ya mimba za utotoni ili kuwezesha watoto wa kike kupata elimu, baadhi ya wauguzi wilayani Newala, Mtwara, wameibuka na mbinu mpya.
Wauguzi hao wanadaiwa kuwachoma sindano za uzazi wa mpango wanafunzi wa shule za msingi, kinyume cha utaratibu kwa lengo la kuwakinga na mimba zisizotarajiwa.
Hayo yamebainika kupitia taarifa ya Matokeo ya Ripoti ya Utafiti uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA). 
TAMWA iliendesha...

 

10 years ago

Vijimambo

WARSHA KUHUSU NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUZUIA UKATILI DHIDI YA WATOTO NCHINI TANZANIA YAFUNGULIWA LEO KILIMANJARO.

  Julieth Swai Mwakilishi kutoka UNICEF akizungumza jambo Baadhi ya washiriki wa Warsha wakifuatilia kwa makini Mmoja wa  washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo Kimela Bila Mwandaaji wa Kipindi cha Walinde Watoto akizungumza katika Warsha hiyo Mathias Haule, Afisa Maendeleo ya Jamii maswala ya Ukatili dhidi ya Watoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akielezea Sheria ya Mtoto Neema Kimaro, Mratibu wa kipindi cha Walinde Watoto kutoka True Vision Production...

 

5 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA KIKE MSIJIRAHISISHE TUPUNGUZE UKATILI- DC KASESERA

Na Mwandishi Wetu Iringa

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela amewataka wanafunzi wa kike kutojirahisisha mpaka kupelekea kufanyiwa vitendo vya ukatili dhidi yao.

Ameyasema hayo leo mkoani Iringa wakati akiupokea Msafara wa kijinsia wa kutokomeza ukatili wa kijinsia mkoani hapo.

Ameongeza kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikiongezeka siku hadi siku hasa katika familia na vimekuwa vikifumbiwa macho na kumalizana kimya kimya.

"Msijirahisishe watoto wangu mnatupa tabu sana maana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi Newala wasema kumbagua mtoto wa kike kielimu ni ukatili

Mwongozaji wa mjadala huo, Suzan Charles (mbele aliyesimama) kutoka Kituo cha Usuluhishi (CRC) kilichopo chini ya Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) akizungumza katika mjadala huo na wanafunzi.

Mwongozaji wa mjadala huo, Suzan Charles (mbele aliyesimama) kutoka Kituo cha Usuluhishi (CRC) kilichopo chini ya Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) akizungumza katika mjadala huo na wanafunzi.

IMG_01821

 

Mwongozaji wa mjadala huo, Suzan Charles (mbele aliyesimama) kutoka Kituo cha Usuluhishi (CRC) kilichopo chini ya Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) akizungumza katika mjadala huo na wanafunzi.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nachitulo akizungumza na mwandishi wa habari hizi.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nachitulo akizungumza na mwandishi wa habari hizi.

Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Nachitulo walioshiriki katika mjadala wakiwa katika picha ya pamoja.

Baadhi ya...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Tunaweza kujitosheleza kwa Sukari

Tunaweza kujitosheleza kwa Sukari

Leo siku nzima kamati ya PAC ilikuwa inazungumza na Bodi ya Sukari, Wizara ya Kilimo na Wakulima wa Miwa Wilayani Kilombero. Tanzania huzalisha wastani wa tani 300,000 za Sukari kwa mwaka ilhali mahitaji ni tani 420,000 kwa mwaka. Hii hupelekea uagizaji wa Sukari kutoka nje ambao umekumbwa na malalamiko makubwa sana kutoka kwa wadau mbalimbali.

Masuala kadhaa yameibuliwa katika kikao cha leo

Wakulima wamelalamikia sana uingizaji holela wa Sukari nchini. Bei...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani