Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunisia kujenga ukuta kati yake na Libya

Tunisia imetangaza kwamba inapanga kujenga ukuta kati yake na Libya kukabiliana na tishio kutoka kwa wanamgambo wa kupigana jihadi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kujenga ukuta mpakani Somalia

Waziri wa maswala ya ndani Kenya Joseph Nkaissery amesema kuwa ujenzi wa ukuta katika mpaka wa Kenya na Somalia utaanza wiki hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshambuliaji wa Tunisia alikuwa Libya

Maafisa wanasema Seifeddine Rezgui alipokea mafunzo ya kivita ndani ya Libya sawa na washambuliaji wa makavazi mjini Tripoli

 

10 years ago

BBC

Tunisia killer 'trained in Libya'

Tunisian security sources say that Seifeddine Rezgui, who killed 38 people in an attack on a hotel in the resort of Sousse, was trained in Libya.

 

10 years ago

BBCSwahili

15 kati ya waliouawa Tunisia ni Waingereza

Maelfu ya watalii wanatoroka Tunisia baada ya shambulio katika hoteli ya watalii iliyosababisha vifo vya watu 38 wengi wao wazungu

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Tunisia closes Libya border crossing

Tunisia has closed its main border crossing with Libya after thousands of stranded Egyptian and other foreign nationals tried to break through.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ennadha:Vita vya Libya ni tishio Tunisia

Chama cha kiislamu Tunisia Ennadha kinasema kuwa nchi hiyo itakabiliwa na vitisho ikiwa libya itaendelea kukumbwa na vita.

 

10 years ago

CloudsFM

Diamond alipwa milioni 14 za ujenzi baada ya ukuta wa nyumba yake kuanguka.

Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake uliodondoka.

Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.

“Ilikuwa ghafla ukuta wa nyumba yangu ya Tegeta ukaanguka wakati huo nilikuwa natakiwa kulipia fedha kwa ajili ya kurekodi wimbo...

 

10 years ago

GPL

SINGANO ASHINDA KESI YA KIMKATABA KATI YAKE NA SIMB

Ramadhani Singano 'Messi' . TFF imemtangaza mchezaji Ramadhani Singano 'Messi' kuwa mchezaji huru kwa madai kuwa Simba ilikiuka masharti na hivyo kusababisha mkataba huo kuvunjika.

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA YAKABIDHIWA TAKWIMU ZA UFANYAJI BIASHARA KATI YAKE NA JUMUIYA YA MADOLA.


Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) (katikati aliyeshika kalamu) akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Bi Patricia Scotland. Kushoto kwa Prof. Kabudi ni Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Geneva,Uswisi Balozi Maimuna Tarishi pamoja na Wakurugenzi na Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi ndogo za Jumuiya hiyo zilizopo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani