Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunisia yasema refa hakutenda haki

Kocha wa Tunisia ameelezea kushindwa kwa kikosi chake na Equitorial Guinea katika mchuano wa kombe la Afrika kama aibu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Serikali yasema uchaguzi utakuwa huru na haki

Serikali imesema itahakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unakuwa huru na wa haki ili kuwawezesha Watanzania kuitumia vyema haki yao ya kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wanaowataka.

Makamu wa Rais Dokta Mohammed Gharib Bilal amesema Serikali haitakubali kuona uchaguzi wa mwaka huu unakuwa chanzo cha kuvurugika kwa amani ya nchi hivyo itahakikisha unafanyika kwa amani na utulivu kote nchini.

 

Makamu wa Rais, Dokta Mohammed Gharib Bilal, amewatoa hofu watanzania katika ibada ya kumweka...

 

5 years ago

Michuzi

CCM CHATO YASEMA WAZIRI KALEMANI AMEITENDEA HAKI ILANI

Veronica Simba – Chato
Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Chato kimekiri kuridhishwa na utendaji kazi wa Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo hilo, Dkt Medard Kalemani.
Ameyasema hayo Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM, Wilaya ya Chato, Ramadhani Ndaki na kuongeza kuwa kwa utendaji kazi wake mahiri, Dkt Kalemani ameitendea haki Ilani ya Chama hicho ambacho ndicho kinaongoza nchi.
Kiongozi huyo wa Chama alikuwa akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya Waziri Kalemani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Refa mechi ya Zesco na AS ni Mtanzania

Mwamuzi wa kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Israel Mjuni Nkongo amechaguliwa kuchezesha Ligi ya Mabingwa Afrika .

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho amtetea refa Artkinson

Kocha wa Chelsea asema nyota wake Oscar amekiri kujiangusha ili kupewa penalti wakati wa mechi yao dhidi ya Southampton

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga yabadili refa mechi vs Simba

Kamati ya Waamuzi nchini imemuondoa refa msaidizi namba moja, Ferdinand Chacha kuchezesha mechi ya watani wa jadi, Yanga na Simba, na nafasi yake sasa inachukuliwa na Samuel Mpenzu kutoka Arusha ambaye atasaidiana na John Kanyenye kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara ambao mwamuzi wa kati atakuwa Israel Nkongo.

Hata hivyo, mabadiliko hayo yaliyofanywa na kamati hiyo yalichelewa kufika katika sekretarieti ya Shirikisho la Soka nchini (TFF), ambayo juzi ilimtangaza Chacha na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jukata: Rais Kikwete si refa mzuri

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limesema Rais Jakaya Kikwete, amepoteza urefa aliouvaa wakati anaanzisha mchakato wa kupata Katiba na kuvaa jezi ya chama kimoja. Jukata wameeleza kuwa kutokana na hali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Apigwa faini kwa kumdhalilisha refa

Afisa asimesimamishwa kazi kwa mda wa miezi minne baada ya kumdhalilisha refa wa kike nchini Uingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yashtumiwa kwa kumshawishi refa

Mkufunzi wa timu ya Everton Robert Mertinez amewashtumu wachezaji wa Chelsea kwa kujaribu kumshawishi refa

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho ampa kongole refa Dean

Jose Mourinho, alikataa kuhojiwa baada ya Chelsea kuchabangwa 2-1 na Sunderland badala yake akamsifu refa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani