Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho ampa kongole refa Dean

Jose Mourinho, alikataa kuhojiwa baada ya Chelsea kuchabangwa 2-1 na Sunderland badala yake akamsifu refa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho amtetea refa Artkinson

Kocha wa Chelsea asema nyota wake Oscar amekiri kujiangusha ili kupewa penalti wakati wa mechi yao dhidi ya Southampton

 

11 years ago

Mwananchi

Mourinho ampa dili la mwaka Drogba

Mshambuliaji Didier Drogba amesaini mkataba wa mwaka mmoja na Chelsea.

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi

KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.

“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI MWANZA WAMPA KONGOLE JPM

 Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza na  Sheikhe wa Mkoa, Alhaji Sheikh Hasani Kabeke, akizungumza na waandishi wa habari jana.Kulia ni Mwenyekiti Mwenza wa kamati hiyo Askofu Charles Sekelwa na wa tatu kutoka kushoto ni Katibu Mwenza wa kamati hiyo Askofu Zenobius Isaya.  Viongozi wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza jana wakati wakitoa tamko l kumpongeza Rais John Magufuli kwa uongozi...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ANGELINE MABULA AIPA KONGOLE NBC

Na Munir Shemweta, WANMM DODOMANaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kuanzisha utaratibu wa kutembelea viongozi wanawake kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusiana na uboreshaji huduma za benki hiyo.
Dkt Mabula alitoa pongezi hizo jana ofisini kwake jijini Dodoma baada ya kutembelewa na ujumbe wa NBC ukiiongozwa na Meneja wa Tawi la Benki hiyo jijini humo Bi. Happiness Kizigira ikiwa ni muendelezo wa...

 

9 years ago

Worcester News

Bishop and dean visit Tanzania


Worcester News
Bishop and dean visit Tanzania
Worcester News
MOVING MOMENT: Bishop John unveils a plaque on a new hospital building in Berega, constructed with money raised in memory of his wife Denise. (49514551). ANNIVERSARY CELEBRATIONS: Peter Atkinson, dean of Worcester, in a Morogoro shirt.

 

9 years ago

StarTV

Arsene Wenger ashangazwa na mwamuzi Mike Dean.

 

Kocha Arsene Wenger wa Arsenal amekitaka chama cha soka cha England FA kuangalia kwa kina ni vipi mshambuliaji wa Diego Costa wa Chelsea kuepuka kutolewa nje kwa kadi nyekundu kwenye uwanja wa Stamford Bridge kufuatia utovu wa nidhamu dhidi ya wachezaji Gabriel Paulista na Laurent Konciely.

Kocha Wenger ameshangazwa na jinsi ya mchezaji huyo kuhusika na matukio mengi ya kibabe dhidi ya wachezaji wa timu pinzani na kuharibu mchezo dimbani na bado FA inafumbia macho sambamba na mwamuzi Mike...

 

5 years ago

Birmingham Live

'Remarkable' - The one player Dean Smith's crying out for at Aston Villa

'Remarkable' - The one player Dean Smith's crying out for at Aston Villa  Birmingham LiveMbwana Samatta makes Aston Villa relegation claim  Sportslens.comReport suggests Leicester have advantage over Aston Villa for £30m man  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, MusicVilla, the plucky losers yet again  7500 To HoltePlayer 'not interested at all in idea of joining Aston Villa' - Club doesn't tempt him  Sport WitnessView Full coverage on Google...

 

10 years ago

BBCSwahili

Refa mechi ya Zesco na AS ni Mtanzania

Mwamuzi wa kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Israel Mjuni Nkongo amechaguliwa kuchezesha Ligi ya Mabingwa Afrika .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani