Arsene Wenger ashangazwa na mwamuzi Mike Dean.
Kocha Arsene Wenger wa Arsenal amekitaka chama cha soka cha England FA kuangalia kwa kina ni vipi mshambuliaji wa Diego Costa wa Chelsea kuepuka kutolewa nje kwa kadi nyekundu kwenye uwanja wa Stamford Bridge kufuatia utovu wa nidhamu dhidi ya wachezaji Gabriel Paulista na Laurent Konciely.
Kocha Wenger ameshangazwa na jinsi ya mchezaji huyo kuhusika na matukio mengi ya kibabe dhidi ya wachezaji wa timu pinzani na kuharibu mchezo dimbani na bado FA inafumbia macho sambamba na mwamuzi Mike...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9wlT06w3oUg/UvcVLXpwtPI/AAAAAAAFL3g/VbjGNa9Koj0/s72-c/Main-Arsene-3126839.jpg)
ARSENE WENGER PWA!
![](http://1.bp.blogspot.com/-9wlT06w3oUg/UvcVLXpwtPI/AAAAAAAFL3g/VbjGNa9Koj0/s1600/Main-Arsene-3126839.jpg)
9 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-5X--JY1xkFg/VjoVR4uY66I/AAAAAAAAD0U/_lavUGa_IL8/s72-c/premier-league-mike-dean-tottenham-celebracion-arbitro.jpg)
VIDEO: REFEREE MIKE DEAN CELEBRATING EMOTIONALLY TOTTENHAM'S GOAL vs ARSENAL
![](http://1.bp.blogspot.com/-5X--JY1xkFg/VjoVR4uY66I/AAAAAAAAD0U/_lavUGa_IL8/s640/premier-league-mike-dean-tottenham-celebracion-arbitro.jpg)
Rewind to January 2014 and Vine account 'Connor S-S' posed the question 'Can anyone explain what the ref did here? #MUFC'.
Dean appeared disappointed not to see Swansea utilise his advantage at Old Trafford during their FA Cup clash with Manchester United.
The animated official was at it just a month later during a Premier League contest between Aston Villa and West Ham.Dean plays the advantage for the home side, with a chance to prise open the West Ham defence, which was wasted by an over-hit...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhwucLSprPkXYrpOke5sYTNtYuuQxvaLIPYz1UMfwVShWqDTHr3Yw8Wif8dActYC-5RG48D7l9JNEnesJ6U4rkRP/1.jpg)
KOCHA ARSENE WENGER MAJANGA!
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Maombi ya Arsene Wenger yajibiwa
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Ndoa ya Arsene Wenger yavunjika
9 years ago
Bongo528 Sep
Arsene Wenger na mke wake waachana
11 years ago
BBCSwahili30 May
Arsene Wenger aongezwa muda Arsenal
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Arsene Wenger amjibu Jose Mourinho
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho kumshambulia Arsene Wenger kwamba ni kocha ambaye yupo katika wakati mgumu wa kufukuzwa na klabu yake, naye Wenger amemjibu kocha huyo kwa kusema anajivunia kuwa na jina kubwa katika chama cha soka nchini England.
Hata hivyo, Mourinho alimshambulia kocha huyo kwa kudai kuwa anapenda kuwalalamikia waamuzi wakati anapopoteza mchezo.
Wenger alionekana kumtupia lawama mwamuzi Mike Dean ambaye alichezesha mchezo wa wapinzani hao wiki moja...
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Arsene Wenger atakiwa kuondoka Arsenal
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Arsenal kupokea kichapo kwenye Uwanja wa nyumbani wa Emirates, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Olympiakos, mashabiki wa klabu hiyo wamemtaka kocha wao, Arsene Wenger kuachia ngazi.
Katika mchezo huo ambao ulipigwa mwanzoni mwa wiki hii, Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-2 na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya mwisho katika kundi F ikiwa haina hata pointi na wakitarajia kukutana na Bayern Munich katika mchezo wao wa tatu.
Mashabiki wa Arsenal...