Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Turufu ya CCM Uchaguzi Mkuu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijadili jambo na Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi kwenye viwanja vya Bunge jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, jana alihitimisha mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Ofisi yake ya Sh trilioni 5.7 ambayo ilipitishwa na Bunge, huku akifafanua hoja zitakazotumiwa na CCM kuomba kura za wananchi katika Uchaguzi Mkuu ujao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wanawake wana kura ya turufu uchaguzi huu

Vita na tambo zilizoambatana na vijembe, kejeli na vitimbi kwa wagombea kupitia kampeni za uchaguzi bado inaendelea, huku kila mgombea akipiga hesabu ya kuteka kundi lolote litakaloweza kumuongezea idadi ya kura.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati maalum ya CCM Zanzibar yapitisha jina la Dkt. Shein kugombea urais kwa tiketi ya CCM Uchaguzi mkuu wa oktoba 2015

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni  Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. (Picha na OMR).

2

 

9 years ago

Mwananchi

Ahadi za CCM Uchaguzi Mkuu

Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeipua Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2015-2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulkikia katika miaka mitano ijayo, ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu ya makosa hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Mkuu, CCM sasa rasmi

>Mbio za kuwania urais na nafasi nyingine kupitia CCM zimetangazwa rasmi baada ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutoa ratiba ikibainisha kuwa mgombea urais chama hicho tawala atajulikana Julai 12, siku mbili baada ya yule wa Zanzibar kufahamika.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

CCM yahofu uchaguzi mkuu 2015 kuvurugika

Na Suleiman Jongo, Chalinze
Nape NnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kuna uwekezano wa Uchaguzi Mkuu wa mwakani kuvurugika kutokana na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kulazimisha matumizi ya mfumo mpya wa Biometric Voter Registration (BVR).
Kimesema mfumo huo utaigharimu serikali mabilioni ya shilingi na kwamba, unaweza usitoe mafanikio yenye tija kama inavyotarajiwa kwa kuwa tayari umetoa matokeo mabaya kwenye baadhi ya nchi zilizoanza kuutumia.
Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi,...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yatamba kuwavusha Watanzania Uchaguzi Mkuu

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mahamudu Madenge, amesema chama hicho kinahitaji mgombea Urais atakayewavusha salama Watanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI CCM 2015: Mizengo Pinda Waziri Mkuu

>Mizengo Pinda alizaliwa Agosti 12, 1948 mkoani Rukwa (atafikisha miaka 67 Agosti mwaka huu). Pinda ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu mwaka 2008.

 

9 years ago

Michuzi

CCM YAANZA NA MTAJI WA UBUNGE KABLA YA UCHAGUZI MKUU

Ijumaa ikiwa ndio  ni siku ya Mwisho kuchukua na Kurejesha Fomu za Urais,Ubunge na Udiwani Katika Majimbo Yote ya Uchaguzi Nchini,Chama Cha Mapinduzi Kimeanza Vema Harakati Hizo baada ya Aliekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Abdallah Dadi Chikota (pichani) kupita bila kupingwa kuwa Mbunge wa Jimbo jipya la Nanyamba,Mkoani Mtwara
Hatua hiyo Imetokea baada ya wagombea wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Na aliekuwa Mgombea wa Chama cha Wananchi CUF Kutojitokeza Kurudisha Fomu...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yajipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa marudio Zanzibar

Wakati kamati maalumu ya kutatua mkwamo wa kisiasa Zanzibar ikiendelea na mazungumzo, CCM imewataka wafuasi wake visiwani humo kujiandaa na Uchaguzi Mkuu wa marudio ili kukiletea chama hicho ushindi wa kishindo utakapofanyika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani