Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusker Fanya Kweli yawafikia wakazi wa Tegeta na Temeke wiki hii

CAMPIX PRODUCTION

Mkazi wa Tegeta Kibaoni na mpenzi wa bia ya Tusker John Peter (Katikati) akipokea zawadi yake ya fulana wakati wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani iliyofanyika katika baa ya Family iliyopo Tegeta jijini Dar wikiendi ya Ijumaa. Baa hiyo iliibuka mshindi wa wiki wa promosheni hiyo ambayo inadhaminiwa na bia ya Tusker toka Kampuni ya bia ya Serengeti. Akikabidhi zawadi hiyo (Kulia) ni Meneja Masoko wa bia ya Tusker Nandi Mwiyombella akishuhudiwa na mshereheshaji wa promosheni hiyo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Tusker Fanyakweli Kiwanjani yawakuna wakazi wa Mbezi Beach na Kimara wiki hii

CAMPIX PRODUCTION

Mteja wa bia ya Tusker Bi. Elizabeth Ulomi (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) kabla ya kupokea zawadi yake ya mfuko na fulana wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub iliyopo Tangi Bovu-Mbezi beach jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Akijiandaa kutoa zawadi hiyo (kulia) ni Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Sherehe za mkondo wa Baa zanogesha promosheni ya Tusker ‘Fanya Kweli Kiwanjani’

CAMPIX PRODUCTION

Mkazi wa Kimara Kona, Thomas Kimaro (katikati) akipokea zawadi yake ya fulana toka kwa Meneja Mipango na Matukio-SBL Lulu Mduma (Kushoto) katika shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam (Kulia) ni Mtangazaji wa redio Efm na mshereheshaji wa Kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash.

CAMPIX PRODUCTION

Mkazi wa Sinza Bw. Nasib Ngoya (kulia) akionyesha zawadi yake  ya mfuko wenye fulana aliopewa...

 

10 years ago

Michuzi

NMB YAWAFIKIA WAKAZI WA TANDIKA

       Benki ya NMB juzi ilifungua tawi jipya maeneo ya Tandika- Dar es Salaam tawi linalokadiriwa kuhudumia Zaidi ya wateja 300 kwa siku. Tawi la NMB Tandika lipo maeneo ya Sokoni karibu na kituo cha polisi Tandika katika makutano ya mtaa wa Chihota na Ugweno.Tawi hili linatoa huduma kwa wakazi wa Tandika, Yombo,Buza,Mtongani na maeneo mengineyo. Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe. Sophia Mjema akikata utepe kuashiria  uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Tandika.  Kutoka kushoto  ni; Kaimu Mkurugenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NMB yawafikia wakazi wa Sinza

BENKI ya NMB juzi ilizindua rasmi tawi lake Sinza Mori, Kinondoni, jijini Dar es Salaam zikiwa ni harakati zake za kufikisha huduma karibu na wateja. Tawi hilo ambalo limefunguliwa mkabala...

 

10 years ago

Michuzi

NMB YAWAFIKIA WAKAZI WA SIHA

Benki ya NMB jana ilizindua rasmi tawi Jipya katika wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro. Tawi hili linakadiriwa kuhudumia Zaidi ya wateja Mia moja kwa siku. Tawi jipya la NMB Siha litakuwa linatoa huduma zote za kibenki kunzia kufungua akaunti mbali mbali za akiba, huduma za mikopo yenye masharti nafuu kwa ajili ya mahitaji yote kwenye soko, huduma za fedha za kigeni, kukusanya mapato na kulipa kwa niaba ya serikali na taasisi mbalimbali, kuweka na kutoa fedha. 
 Tawi la NMB Siha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

SBL yazindua kampeni ya ‘Fanya Kweli’

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager, imezindua kampeni mpya inayojulikana kwa jina la ‘Fanya Kweli’ ambayo itasaidia kujenga maisha ya mtu mmoja na Tanzania...

 

9 years ago

Dewji Blog

Friends PUB ya Segerea na Checkpoint Chanika baa za wiki Tusker Fanyakweli Kiwanjani

CAMPIX PRODUCTION

Mkazi wa Kigogo Fresh-Chanika Bi. Mazoea Kombo (katikati) akipokea zawadi yake ya fulana toka kwa Msimamizi wa mauzo ya Kampuni ya bia Serengeti kanda ya Chanika Bw. Tesha Stanslaus (Kulia) katika hafla ya kuipongeza baa ya Check Point iliyopo Chanika jijini Dar es salaam mara baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Bi. Mazoea aliimwagia sifa bia hiyo kuwa ni laini na haimchoshi.

Kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kisuma na Safari Resort Baa za wiki kwenye shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani

3

Mkazi wa Mwembeyanga Bw. Frank Kabisi (katikati) akifurahia zawadi yake ya mfuko na Tisheti alizopewa wakati wa wa hafla ya kuipongeza baa ya Kisuma iliyopo Mwembeyanga Tandika mara baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker toka kampuni ya bia ya Serengeti. (Kushoto) ni Mshereheshaji wa promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani na Tusker Gadner Habbash na (kulia) ni balozi wa bia hiyo Bi. Veronica Mbilinyi.

4b

Mkazi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani