Tutaendelea kutumia mashine mpya kukusanya kodi — Rais Kikwete
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Mbumge wa Karatu mchungaji Israeli Nase(Watatu kushoto),Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe (Wapili kushoto),Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo(kushoto) na Mkurugenzi wa Utumishi na utawala wa TRA aliyemwakilisha Kamishna mkuua wa TRA Bwana Abubakari Kunenge (wapili kulia) na kulia ni mwakilishi wa ofisi ya TRA Mkoa Bi.Caroline Ntinku(picha na Freddy Maro).
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuashiria kufungua...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Nchi inaibiwa kwa kutumia mfumo wa kukusanya kodi
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Rais Jakaya Kikwete: Tutaendelea kupambana na Malaria na kubaki kuwa historia nchini
![Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0383.jpg)
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Na Benedict Liwenga-MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefurahishwa na uzinduzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Serikali isiache mwanya katika kukusanya kodi
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Kikwete ataka kilimo kutumia teknolojia mpya
9 years ago
MichuziJIJI LA MBEYA LAJIPANGA KUKUSANYA KODI KATIKA MRADI WA SOKO JIPYA LA MWANJELWA
Na EmanuelMadafa, MbeyaHALMASHAURI ya Jiji la Mbeya, imesema imejipanga vyema katika kuhakikisha mradi mkubwa wa soko jipya la mwanjelwa unasimamiwa kikamilifu kwa kufuata taratibu za serikali sanjali na mikataba iliyoingia na benki ya CRDB kwa kipindi cha miaka 15.
Mradi huo wa soko la kimataifa la Mwanjelwa lililopo jijini Mbeya ujenzi wake imefikia asilimia 99 hivyo upo katika hatua za mwisho za kukamilika kwake.
Akizungumza ofisini...
9 years ago
StarTV14 Sep
Rais Kikwete asisitiza kutumia wataalamu wa ndani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete imesisitiza matumizi ya wataalamu kutoka kwa taasisi na mashirika yaliyopo hapa nchini katika kusimamia na kuendeleza miradi mbalimbali kwa lengo la kupunguza gharama zinazotumika kuwalipa wataalamu kutoka nje ya nchi.
Rais Kikwete amesema ikiwa idara nyingi zitatumia ubunifu na maarifa ya wataalam wetu wa ndani tutakuwa na miradi mingi itakayojengwa na nguvu za watanzania wenyewe.
Rais Kikwete ameyasema hayo wakati akizindua awamu ya kwanza ya ujenzi wa chuo...
11 years ago
Habarileo23 Apr
JK amaliza ubishi mashine za kodi
RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza msimamo wa Serikali, kwamba mashine za elektroniki za ukusanyaji kodi (EFDs), lazima ziendelee kutumika nchini. Alisema hayo jana wakati alipozungumza kwenye uzinduzi wa Ofisi za Mamlaka ya Bandari (TRA) mjini Karatu katika Mkoa wa Arusha, na kuongeza kuwa changamoto za mashine hizo zinajadilika.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Muda matumizi mashine za kodi waongezwa
SERIKALI imeongeza muda wa kutumia mashine za kodi za kielektroniki (EFDs) kwa wafanyabiashara hadi Februari mosi, 2014. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kikao kilichohusisha chama cha wafanyabiashara, Waziri wa Viwanda...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)