Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Tutaizika Chadema 2015’



 UVCCM yaanza kumtikisa Sugu Mbeya Yaapa kurejesha majimbo yote mawili
Na Innocent Ng’oko, Mbeya
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umeendelea kutikisa ngome ya mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, (Sugu) na kumtangazia kwamba  CCM itarejesha jimbo hilo na la Mbozi Magharibi.
Umesema hakuna kikwazo cha kutwaa majimbo hayo kwa kuwa wananchi wameshatambua kwamba wabunge wa Chadema hawawezi kutatua kero zao na badala yake wanaendekeza maslahi binafsi.
Umoja huo umesema lengo lao...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kikosi kipya Chadema 2015

Kikosi cha Chadema

Kikosi cha Chadema

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

HATIMAYE Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeunda kikosi kazi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, baada ya makada nane kuchaguliwa na Baraza Kuu kuwa wajumbe wa Kamati Kuu.

Katika kikosi hicho, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika amevaa viatu vya aliyekuwa Makamu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, Zitto Kabwe.

Safu ya kikosi hicho ambacho kitaongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, ilikamilika juzi usiku kwa Baraza Kuu kuchagua...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mkutano wa Chadema /Ukawa Kawe 01/10/2015

The post Mkutano wa Chadema /Ukawa Kawe 01/10/2015 appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wajipanga kumng’oa Majimarefu 2015

CHAMA cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mwenyekiti mpya wa Chama hicho wilayani Korogwe, Aulerian Nziku, amesema wamejipanga kumng’oa Mbunge wa Korogwe vijijini, Stephen Ngonyani, maarufu kama Profesa Majimarefu...

 

10 years ago

GPL

CHADEMA WATOA UTARATIBU UTEUZI WA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2015

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar, Salum Mwalim (katikati) akitoa taarifa hiyo. Kushoto ni Katibu Mkuu Baraza la Wazee Taifa, Roderick Lutembeka na kulia ni Mkurugenzi wa Bunge ndani ya Chadema Halimashauri Kuu, John Mrema. Wanahabari wakifuatilia mkutano huo. CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo kimetoa taarifa yake juu ya utaratibu utakaotumika katika uteuzi wa wagombea ndani ya chama hicho kwa mwaka wa 2015....

 

10 years ago

TheCitizen

Team Chadema: put house in order ahead of 2015 General Election

There is no doubt that Chadema is the biggest and most competitive political party on one side of the fence. On the other sits CCM which has ruled Tanzania since independence

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Abdallah Safari: Makamu Mwenyekiti Chadema

>Profesa Abdallah Safari ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wakili wa kujitegemea Tanzania. Alizaliwa Juni 3, 1951, katika Kata ya Ngamiani, Tanga (anatimiza miaka 64 Juni).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani