‘Tutaizika Chadema 2015’
UVCCM yaanza kumtikisa Sugu Mbeya Yaapa kurejesha majimbo yote mawili
Na Innocent Ng’oko, Mbeya
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umeendelea kutikisa ngome ya mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, (Sugu) na kumtangazia kwamba CCM itarejesha jimbo hilo na la Mbozi Magharibi.
Umesema hakuna kikwazo cha kutwaa majimbo hayo kwa kuwa wananchi wameshatambua kwamba wabunge wa Chadema hawawezi kutatua kero zao na badala yake wanaendekeza maslahi binafsi.
Umoja huo umesema lengo lao...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania17 Sep
Kikosi kipya Chadema 2015
Kikosi cha Chadema
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeunda kikosi kazi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, baada ya makada nane kuchaguliwa na Baraza Kuu kuwa wajumbe wa Kamati Kuu.
Katika kikosi hicho, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika amevaa viatu vya aliyekuwa Makamu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, Zitto Kabwe.
Safu ya kikosi hicho ambacho kitaongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, ilikamilika juzi usiku kwa Baraza Kuu kuchagua...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Oct
Mkutano wa Chadema /Ukawa Kawe 01/10/2015
The post Mkutano wa Chadema /Ukawa Kawe 01/10/2015 appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
CHADEMA wajipanga kumng’oa Majimarefu 2015
CHAMA cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mwenyekiti mpya wa Chama hicho wilayani Korogwe, Aulerian Nziku, amesema wamejipanga kumng’oa Mbunge wa Korogwe vijijini, Stephen Ngonyani, maarufu kama Profesa Majimarefu...
9 years ago
CHADEMA Blog10 years ago
GPLCHADEMA WATOA UTARATIBU UTEUZI WA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2015
10 years ago
TheCitizen14 Sep
Team Chadema: put house in order ahead of 2015 General Election
10 years ago
Mwananchi26 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Abdallah Safari: Makamu Mwenyekiti Chadema
10 years ago
GPL10 years ago
Michuzi14 May