Uapishaji viongozi Segerea wakosolewa
 Wakati viongozi wa Serikali ya Mtaa wa Migombani-Segerea, Dar es Salaam wakiapishwa na wakili wa kukodi, wasomi wa sheria nchini wamesema utaratibu huo ni batili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania23 Jan
Vurugu uapishaji wenyeviti wa mitaa
ENEO la viwanja vya Anatouglou jijini Dar es Salaam, jana lilikumbwa na vurugu wakati wa kuapishwa kwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa mitatu katika Halmashauri ya Wilaya ya Ilala.
Katika vurugu hizo aliyekuwa mgombea wa CCM, Mtaa wa Kigogo Fresh B, Kata ya Pugu, Mariano Haruna, alijikuta akipata fedheha baada ya kudhalilishwa kwa kuvurumishiwa matusi, kukunjwa na kuchaniwa shati lake.
Haruna, alifanyiwa vitendo hivyo na watu wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
Mtanzania07 Jan
Ngumi, mabomu uapishaji wenyeviti wa mitaa
Na Aziza Masoud na Ferdnanda Mbamla, Dar es Salaam
ENEO la Riverside Ubungo jijini Dar es Salaam, jana liligeuka uwanja wa mapambano baada ya polisi kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi ili kunusuru hafla ya kuapishwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika Wilaya ya Kinondoni.
Dalili za kuibuka kwa fujo zilianza kuonekana kwa wananchi waliokuwa wamekusanyika nje ya hoteli ya Land Mark ambako hafla hiyo ilipangwa kufanyika, waliokuwa wakipinga kuapishwa kwa waliokuwa wagombea uenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Uteuzi wa JK wakosolewa
RAIS Jakaya Kikwete amekosolewa kwa kuchgua mawaziri wasio na sifa kutokana na tabia yake ya kutaka kulipa fadhila. Hayo yalibainishwa na Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu...
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Mayweather na Pacquiao wakosolewa
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wahitimu elimu ya juu wakosolewa
BAADHI ya wahitimu wa elimu juu hawana uelewa na ufahamu wa kutosha wa kile walichokisomea na mambo yanayoendelea kwenye mazingira husika. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Sekretarieti...
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Nuklia:Msimamo wa Netanyahu wakosolewa
9 years ago
Bongo506 Jan
Mpango wa Beyonce kufanya movie hii wakosolewa vikali Afrika
![The 55th Annual GRAMMY Awards - Arrivals](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/o-BEYONCE-GRAMMYS-facebook-300x194.jpg)
Kwa wengine Queen Bey hawezi kufanya kitu kibaya, lakini ukitoa mradi mpya wa filamu anaodaiwa kupewa.
Hivi karibuni kulikuwa na taarifa kuwa Beyoncé anaweza kushiriki kwenye filamu ya historia ya Saartjie (“Sarah”) Baartman, mwanamke wa Afrika Kusini aliyenyonywa na Waingereza katika karne ya 18 na 19.
Baartman, aliyejulikana pia kama Hottentot Venus alikuwa akioneshwa hadharani akiwa mtupu kutokana na kuwa na makalio makubwa.
Chief Jean Burgess wa Afrika Kusini amedai kuwa Beyoncé hafai...
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Masha atoka Segerea
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
BAADA ya kuwa chini ya Jeshi la Magereza kwa saa 24, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Laurence Masha, ametimiza masharti ya dhamana na kuachiwa.
Masha aliingia katika Gereza la Segerea juzi alasiri na kuachiwa huru jana alasiri baada ya mahakama kujiridhisha.
Mshtakiwa huyo alipanda kizimbani mbele ya Hakimu Mkuu Mkazi Waliarwande Lema kwa ajili ya dhamana.
Wakili wa Serikali, Wankyo Simon, aliifahamisha mahakama kwamba uhakiki wa masharti ya dhamana...
9 years ago
Daily News09 Sep
Clinics planned for expansion in Segerea
Daily News
SEGEREA Chama Cha Mapinduzi parliamentary aspirant Ms Bonnah Kaluwa has promised to improve health services by building clinics in each ward if elected. Ms Kaluwa said she will ensure that existing dispensaries are upgraded to become health ...