Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubakaji watoto Zanzibar

Vitendo vya udhalilishaji watoto ikiwemo ubakaji visiwani Zanzibar vimeelezwa kuongezeka na kuleta athari kwa watoto hao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DC JOKATE AKEMEA VIKALI UTORO,MIMBA ZA UTOTONI NA UBAKAJI KWA WATOTO WADOGO

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo akifafanya jambo katika mkutano wa kazi kwa watendaji wa kata, watendaji wa vijiji, pamoja na wenyeviti wa vijiji vipatavyo 84 ambapo walikutana kwa lengo la kujadili masuala ya maendeleo pamoja na changamoto zilizopo.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama akitoa mada wakati wa mkutano huo ambao aliuandaaa kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi na watendaji mbali mbali wa ngazi za vijiji, kata pamoja na tarafa ili kujadili...

 

5 years ago

CCM Blog

KATAVI: UBAKAJI WATOTO WA CHINI YA MWAKA HADI MIAKA MINNE UNAHUSISHWA NA IMANI ZA KISHIRIKINA

  Matukio ya vitendo vya ubakaji kwa watoto wadogo wenye umri wa chini ya mwaka mmoja hadi miaka nane yameendelea kuripotiwa mkoani katavi ambapo idadi kubwa ya matukio hayo yanaelezwa kusababishwa na imani za kishirikina
Akizungumzia matukio hayo Afande Clara Ndamukyana wa kitengo cha Dawati la Jinsia mkoa wa Katavi amesema hali hiyo inasababishwa na waganga wa jadi wanaowadanganya wateja wao

“Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa wanasema waganga waliwaeleza kuwa wakipata mabinti ambao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukatili unaofanyiwa watoto Zanzibar

Vitendo vya ukatili na udhalilishaji watoto ikiwemo ubakaji visiwani Zanzibar vimeelezwa kuwa tishio

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yaokoa maisha ya watoto 3000 Zanzibar

DSC_0152

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari wa Zanzibar kwenye ofisi ndogo za mashirika ya Umoja wa Mataifa visiwani Zanzibar kuhusiana na mafanikio ya mradi wa kusaidia maendeleo nchini Tanzania (UNDAP) ulioanza mwaka 2011 na sasa ukiwa ukingoni. Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO)...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zanzibar kujenga wodi maalumu ya watoto

558

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Mtoto mgonjwa Nasrya Kombo aliyelazwa Hospitali kuu ya Mnazi mmoja baada ya kuungua kiwa moto. Pembeni kwa Balozi Seif ni Muuguzi wa Zamu katika Hopitali kuu ya Mnazi Mmoja wodi ya Watoto Bibi Mary Jadi.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba Serikal  ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nia ya kutaka kujenga Wodi  maalum kwa ajili ya  kulazwa watoto wadogo wanaopatwa na majanga  mbali mbali ya...

 

11 years ago

Michuzi

VODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA WATOTO YATIMA ZANZIBAR

Mgeni rasmi kwenye hafla ya kufuturisha watoto waishio katika mazingira magumu mjini Zanzibar,Kadhi Mkuu wa Zanzibar,akiwasili kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa na Vodacom Foundation na kupokewa na Meneja wa Vodacom tawi la Zanzibar, Mohamed Mansoor. Baadhi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu mjini Zanzibar wakimsikiliza Kadhi Mkuu Zanzibar Khamis Haj alipokuwa anazungumza nao wakati wa hafla ya kufuturisha watoto hao iliyoandaliwa na Vodacom Foundation jana. Kadhi Mkuu wa Zanzibar...

 

9 years ago

Mwananchi

Machozi ya Aisha wa Zanzibar kwa watoto wake kubakwa

Vitendo vya ukatili wa kijinsia vimeendelea kuwa mwiba kwa watoto visiwani Zanzibar, huku wengi wakiendelea kuugulia maumivu ya ndani kwa ndani pasipo kuainisha matatizo yao kwa uwazi ndani ya jamii wanazoishi.

 

11 years ago

GPL

VODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA WATOTO YATIMA ZANZIBAR‏

Mgeni rasmi kwenye hafla ya kufuturisha  watoto waishio katika mazingira magumu mjini Zanzibar,Kadhi Mkuu wa Zanzibar,akiwasili kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa na Vodacom Foundation na kupokewa na Meneja wa Vodacom tawi la Zanzibar, Mohamed Mansoor. Viongozi wa dini mjini Zanzibar pamoja  na wa Vodacom Tanzania wakiongozwa na mgeni rasmi Kadhi wa Zanzibar Khamis Haj wakipata futari katika  hafla hiyo iliyoandaliwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani