UN yaokoa maisha ya watoto 3000 Zanzibar
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari wa Zanzibar kwenye ofisi ndogo za mashirika ya Umoja wa Mataifa visiwani Zanzibar kuhusiana na mafanikio ya mradi wa kusaidia maendeleo nchini Tanzania (UNDAP) ulioanza mwaka 2011 na sasa ukiwa ukingoni. Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO)...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
Kunyonyesha kunaokoa maisha ya watoto
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Maisha ya watoto yanavyopotea kutokana na udumavu
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Watoto 1,000 hupoteza maisha kila mwaka
IMEELEZWA kuwa watoto 1000 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi kila mwaka upoteza maisha kutokana na wazazi wao kuhusisha ugonjwa huo na imani za kishirikina. Mwenyekiti wa Chama cha Watoto...
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Simulizi ya maisha ya malezi ya watoto mapacha wanne
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Fawopa-Tanzania: Tuwajali watoto wenye maisha magumu
UMASKINI uliokithiri nchini hasa katika ngazi ya familia ndio chanzo cha kuwepo watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi. Tanzania ni moja kati ya nchi nyingi barani Afrika zinazokabiliwa na wimbi kubwa...
9 years ago
StarTV12 Nov
Mashirika,Asasi zatakiwa kuokoa maisha ya watoto njiti
Kufuatia kuzidi kuongezeka kwa vifo vya watoto njiti nchini takribani watoto laki mbili na kumi wanaozaliwa kwa mwaka ni elfu tisa pekee ndiyo wanafanikiwa kupata huduma za matibabu na kuishi.
Kutokana na ongezeko hilo la vifo vya watoto njiti, mashirika pamoja na asasi binafsi zimetakiwa kujitokeza kutoa misaada ya mashine za kusaidia kupumua na za kutolea uchafu kwa watoto hao na si mpaka kuisubiri Serikali kufanya kazi hiyo.
Akibainisha hayo mshirika wa Doris Moleli Faundation amesema...
9 years ago
StarTV17 Dec
Zaidi ya 50% ya maisha ya watoto wenye ugonjwa Saratani  yaokolewa
Katika kipindi cha miaka mitano, tangu Serikali kwa kushirikiana na wadau wa afya waanzishe kitengo cha ugonjwa wa Saratani kwa watoto kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zaidi ya asilimia 50 ya maisha ya watoto wenye ugonjwa huo yameokolewa.
Awali katika wodi ya watoto wenye tatizo hilo kwenye taasisi ya Saratani ya Ocean Road ni asilimia 10 tu ya watoto hao walioweza kuokolewa maisha.
Umasikini na uelewa mdogo katika ugonjwa Saratani ni miongoni mwa sababu zinazochangia ongezeko la...
10 years ago
VijimamboTUKISHIRIKIANA TUTAOKOA MAISHA YA AKINA MAMA WENGI NA WATOTO