Uchaguzi Mkuu 2015 na changamoto kwa Wanawake na Vijana
Pichani juu ni baadhi ya viongozi na wajumbe muhimu katika Mtandao wa Wanawake wa Katiba na Uchaguzi ukizungumza na vyombo vya habari kuainisha changamoto wanazokumbana nao wanawake na usawa kwenye siasa.
Kulia ni Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli (sasa ni Rais wa Tanzania) akihutubia katika mikutano yake ya kampeni 2015.
UCHAGUZI Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 uliokuwa na historia ya pekee kiushindani umemalizika tangu Oktoba 25, 2015....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi18 Oct
VIJANA KETE NZURI KWENYE UCHAGUZI MKUU 2015
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/3iH8VQX-22xfdk6f1Jh00eXQN_XI-R_Vd_QKU0ZMjoC8ks-DDkps2dp42OYD8NUW1Dg5jz6E3hMCZed0sjcid1U2SUnG8uiMJvIKDsH6f2USTwnJpDz5yYLFg65lMS3IukBdd69ljenc36ZcjYZyzlgstWsusbDYdd26e445KNLxOA=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2919098/medRes/1151046/-/11mafpcz/-/New+Document.jpg?format=xhtml)
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikiainisha idadi ya watu waliojiandikisha kiumri, inaonyesha kuwa asilimia 57 ya wapigakura wote waliojiandikisha na kuthibitishwa kupigakura Oktoba 25, wana umri chini ya miaka 35.
Taarifa hiyo ambayo imewagawa wapigakura wote 22.75 milioni kwenye makundi...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Kalenga iwatayarishe Watanzania kwa Uchaguzi Mkuu 2015?
RAIS wangu Kikwete, Kalenga mkoani Iringa kunafanyika uchaguzi wa kumchagua mbunge. Ni huko huko Iringa ambako Polisi walimlipua kwa bomu mwanamwema Daudi Mwangosi! Kumbukizi la Mwangosi bado linaichoma mioyo ya...
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)
9 years ago
MichuziVIJANA WA NCHI MWANACHAMA WA MAZIWA MKUU KUSHUHUDIA MAMBO YA UCHAGUZI MKUU HAPA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Taarifa kwa wabunge na wagombea watarajiwa katika uchaguzi mkuu wa 2015 Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-K3VlwnTeLGc/U_SIIRglI4I/AAAAAAAAWEI/ZiC9pEu0eIs/s1600/Newala%2B2.jpg)
Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Rais unatarajia kufanyika hapo mwakani, Wabunge na wanaotaka kuwania Ubunge katika majimbo mbalimbali nchini hata urais mnakaribishwa kuandaa TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA VYAMA VYENU.
Kitabu kama hicho kitakuwezesha wewe Mgombea kutotumia nguvu kuubwa ya kujinadi badala yake utavigawa kwa wananchi mbalimbali jimboni kwako nawe kuelewa nini umewafanyia katika kipindi ambacho ulikuwa madarakani.
Pia wagombea wapya pia wanaweza andaa vitabu kama hivi...
9 years ago
Vijimambo08 Sep
Sababu 10 kwa nini John Magufuli atashinda uchaguzi Mkuu wa Urais 2015
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/p370x247/11144957_129316837414388_86398213818538964_n.jpg?oh=87738b120642bdb8e22cd3c3766bfbfc&oe=5661D597)
Uchaguzi Mkuu
1. Tanzania bara na visiwani yako majimbo ya uchaguzi 266, CCM imesimamisha wagombea Ubunge katika majimbo yote 266 huku Chadema na washirika wake wa Ukawa wakiwa wamesimamisha wagombea katika majimbo 211 (138 toka Chadema). Kati ya majimbo hayo 266, CCM tayari imepita bila kupingwa majimbo 7. Ukichukua majimbo 259 yaliyobaki na kutoa 211 ambayo Chadema na washirika wake wamesimamisha wagombea unabaki na majimbo 48 ambayo CCM haina upinzani wa Chadema wala washirika wake wa...
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
KINANA aahidi CCM kushinda kwa kishindo uchaguzi mkuu Zanzibar 2015
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kufyeka majani mbele ya Chuo cha Sayansi ya Bahari (IMS), alipotembelea chuo hicho kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam eneo la Buyu, Unguja Zanzibar jana wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi ili zipatiwe ufumbuzi. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kinana akikagua jengo jipya la Chuo cha...
10 years ago
StarTV05 May
Kuelekea uchaguzi mkuu, Sitta atoa changamoto wanahabari.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Waziri wa uchukuzi Samwel Sitta amewataka waandishi wa habari kuwa na ujasiri wa kuhoji mambo mazito na magumu wanayoandika hususan ya kisiasa, yanayomgusa mtu binafsi, ili kulinda dhamana yao kwa taifa na watu wake.
Amesema, haitakuwa sawa kuendelea kuandika habari zinazoelemea upande mmoja dhidi ya mtu mwingine, kwa kuwa nyingi zimekuwa na athari kubwa kuanzia ngazi ya familia hadi taifa.
Amesema inasikitisha kuona waandishi wa habari wakiandika...