VIJANA KETE NZURI KWENYE UCHAGUZI MKUU 2015
Dar es Salaam. Wiki moja kabla ya Uchaguzi Mkuu imebainika kwamba, ili mgombea yeyote wa nafasi ya urais ashinde kiti hicho ni lazima awe na ushawishi mkubwa kwa vijana, hasa wa kike.
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikiainisha idadi ya watu waliojiandikisha kiumri, inaonyesha kuwa asilimia 57 ya wapigakura wote waliojiandikisha na kuthibitishwa kupigakura Oktoba 25, wana umri chini ya miaka 35.
Taarifa hiyo ambayo imewagawa wapigakura wote 22.75 milioni kwenye makundi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM BlogNEC YAVISHUKURU VYOMBO VYA HABARI KWA KAZI NZURI YA KUHABARISHA UMMA KWENYE UCHAGUZI MKUU 2015
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
NEC yavishukuru vyombo vya habari kwa coverage nzuri ya Uchaguzi Mkuu 2015
Mkuu wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani. Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa NEC, Emanuel Kavishe.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kavishe naye akitoa pongezi kwa wanahabari kwa kutangaza vizuri matukio ya uchaguzi...
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Vijana kete muhimu kupata urais 2015
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Uchaguzi Mkuu 2015 na changamoto kwa Wanawake na Vijana
Pichani juu ni baadhi ya viongozi na wajumbe muhimu katika Mtandao wa Wanawake wa Katiba na Uchaguzi ukizungumza na vyombo vya habari kuainisha changamoto wanazokumbana nao wanawake na usawa kwenye siasa.
Kulia ni Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli (sasa ni Rais wa Tanzania) akihutubia katika mikutano yake ya kampeni 2015.
UCHAGUZI Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 uliokuwa na historia ya pekee kiushindani umemalizika tangu Oktoba 25, 2015....
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--sa7qiyXdFY/VHQ5kInyNvI/AAAAAAAAdCk/fgiHUEdpxz4/s72-c/IMG-20141121-WA0001.jpg)
SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA
![](http://3.bp.blogspot.com/--sa7qiyXdFY/VHQ5kInyNvI/AAAAAAAAdCk/fgiHUEdpxz4/s1600/IMG-20141121-WA0001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rxEqY6guoQQ/VHQ58aLhP_I/AAAAAAAAdDc/fEs1kFQdNws/s1600/IMG-20141121-WA0011.jpg)
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC
Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD
TRANSIMISSION: AUTOMATIC.
GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200
![](http://3.bp.blogspot.com/-FuRjgbElCCg/VHQ5_YruKuI/AAAAAAAAdDk/VSs2l0FKOsc/s1600/IMG-20141121-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BTPDXbFgXhg/VHQ5f3llbcI/AAAAAAAAdCU/oodO7dRPRBU/s1600/IMG-20141121-WA0000.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dsDINqHH0uI/VHQ5oGlwc2I/AAAAAAAAdCs/katqD9kMlX4/s1600/IMG-20141121-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yKoBHS7WeV0/VHQ5iVtHILI/AAAAAAAAdCc/FvhdrDbdv2E/s1600/IMG-20141121-WA0002.jpg)
Kwa ndani inaonyoonekana
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mtyd0nqkCag/VHQ5r-M4nII/AAAAAAAAdC0/FrK7MC4AYnY/s1600/IMG-20141121-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I-4X8OKr2ME/VHQ5tfRAOLI/AAAAAAAAdC8/eDXJ0jL-f3c/s1600/IMG-20141121-WA0005.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f7mMmsXOHDI/VHQ5xGCg8OI/AAAAAAAAdDE/XQifpT_vrtI/s1600/IMG-20141121-WA0006.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Li1AMeKIPk/VHQ54iajq9I/AAAAAAAAdDQ/mQDde2lWlUY/s1600/IMG-20141121-WA0007.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SvPpgTNnrS8/VHQ54VErRHI/AAAAAAAAdDM/-14q7YZhtrg/s1600/IMG-20141121-WA0010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LjdUzi0DRNY/VHQ6E5-jxyI/AAAAAAAAdDs/bfns_Wi_x-s/s1600/IMG-20141122-WA0004.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)
9 years ago
MichuziVIJANA WA NCHI MWANACHAMA WA MAZIWA MKUU KUSHUHUDIA MAMBO YA UCHAGUZI MKUU HAPA NCHINI
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Vijana wasijisahau katika uchaguzi mkuu