Vijana wasijisahau katika uchaguzi mkuu
Jana ilikuwa Siku ya Kimataifa ya Vijana, kauli mbiu ya mwaka huu ni ‘Vijana kushiriki ngazi zote za uongozi’, katika maadhimisho ya siku hii yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, waziri mwenye dhamana na vijana Dk Fenella Mukangara kwenye hotuba yake aliwahimiza washiriki kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziVIJANA WA NCHI MWANACHAMA WA MAZIWA MKUU KUSHUHUDIA MAMBO YA UCHAGUZI MKUU HAPA NCHINI
9 years ago
StarTV10 Nov
Mkuu wa wilaya wa Kinondoni asifia utendaji  wa Polisi katika uchaguzi mkuu.
Jeshi la Polisi Tanzania limepongezwa kwa kazi nzuri ya ulinzi wa raia na mali zao hususani katika kipindi cha kampeni za uchaguzi hadi kupiga kura.
Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na Mwenyekiti Kamati ya Ulinzi na Usalama wa wilaya hiyo, Paul Makonda katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya polisi Oysterbay Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Mkuu huyo wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema askari wa jeshi la Polisi nchini, wanafanya kazi katika...
9 years ago
Michuzi18 Oct
VIJANA KETE NZURI KWENYE UCHAGUZI MKUU 2015
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/3iH8VQX-22xfdk6f1Jh00eXQN_XI-R_Vd_QKU0ZMjoC8ks-DDkps2dp42OYD8NUW1Dg5jz6E3hMCZed0sjcid1U2SUnG8uiMJvIKDsH6f2USTwnJpDz5yYLFg65lMS3IukBdd69ljenc36ZcjYZyzlgstWsusbDYdd26e445KNLxOA=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2919098/medRes/1151046/-/11mafpcz/-/New+Document.jpg?format=xhtml)
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikiainisha idadi ya watu waliojiandikisha kiumri, inaonyesha kuwa asilimia 57 ya wapigakura wote waliojiandikisha na kuthibitishwa kupigakura Oktoba 25, wana umri chini ya miaka 35.
Taarifa hiyo ambayo imewagawa wapigakura wote 22.75 milioni kwenye makundi...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Uchaguzi Mkuu 2015 na changamoto kwa Wanawake na Vijana
Pichani juu ni baadhi ya viongozi na wajumbe muhimu katika Mtandao wa Wanawake wa Katiba na Uchaguzi ukizungumza na vyombo vya habari kuainisha changamoto wanazokumbana nao wanawake na usawa kwenye siasa.
Kulia ni Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli (sasa ni Rais wa Tanzania) akihutubia katika mikutano yake ya kampeni 2015.
UCHAGUZI Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 uliokuwa na historia ya pekee kiushindani umemalizika tangu Oktoba 25, 2015....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NHL8vluFPVU/VcxfAvGPOcI/AAAAAAAHwWQ/4MX-nxIrKmA/s72-c/Pix%2Bb.jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia upatikanaji wa taarifa sahihi kuelekea uchaguzi mkuu
![](http://3.bp.blogspot.com/-NHL8vluFPVU/VcxfAvGPOcI/AAAAAAAHwWQ/4MX-nxIrKmA/s640/Pix%2Bb.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uwUbPayAoR0/VcxfBAQ6B5I/AAAAAAAHwWc/2ATtTwvjiB8/s640/Pix%2Bc.jpg)
9 years ago
VijimamboTAASISI YA TANZANIA BORA INITIATIVE YAFANYA KONGAMANO LA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
GPLTAASISI YA TANZANIA BORA INITIATIVE YAFANYA KONGAMANO LA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RNHlHMsJ1j4/VlC59msV4WI/AAAAAAAIHsE/Gy-uxMbRzpg/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Dec
FID-Q AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAIFA LETU.
Fid Q amesukumwa kuzungumza na waandishi wa habari baada ya ...