UCHAGUZI WA RAIS NCHINI TOGO UNAFANYIKA LEO JUMAMOSI

Rais wa Togo wa sasa anayewania kurudi madarakani, Faure Gnassingbe alipokuwa akipiga kura yake mapema hii leo. Raia wa Togo wakiwa katika vituo vyao vya kupigia kura. Uchaguzi wa Rais wa Togo unafanyika leo Jumamosi. Wananchi wa Togo wamefika mapema kwenye vituo vyao vya kupigia kura kwa ajili ya kumchagua Rais Mpya wa nchi hiyo. Tume huru ya uchaguzi ya Togo imetangaza kuwa, raia wapatao 3,590,258 ndio wanatarajiwa kupiga kura...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Togo; Uchaguzi wa rais kesho
10 years ago
Michuzi.svg.png)
UCHAGUZI MDOGO WA RAIS NCHINI ZAMBIA KUFANYIKA LEO
.svg.png)
Mshindi katika uchaguzi huu atatawala hadi 2016 ambapo utafanyika Uchaguzi Mkuu.
Katika uchaguzi huu wagombea kutoka vyama vya siasa vipatavyo kumi na moja (11) wamejitokeza...
10 years ago
Michuzi
Uchaguzi Mdogo kuchagua rais Nchini Zambia wafanyika leo

Mshindi katika uchaguzi huu atatawala hadi...
11 years ago
Bongo519 Sep
Usahili wa Miss Universe Tanzania 2014 unafanyika leo Dar es Salaam
10 years ago
BBCSwahili17 May
Waandamana Togo kupinga matokeo ya uchaguzi
10 years ago
GPL
CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE
9 years ago
Michuzi
TAIFA STARS KUREJEA NCHINI LEO, YATARI KWA MTANANGE DHIDI YA MBWEHA WA JANGWANI JUMAMOSI HII

Stars iliyokuwa imeweka kambi nchini Afrika Kusini kwa takribani siku 10, inarejea nyumbani ikiwa imefanya mazoezi vizuri kujiandaa na kuwakabili Mbweha wa Jangwani Algeria siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Akiongelea kuhusu kambi kocha wa...
10 years ago
Michuzi
Uchaguzi Mkuu wa Rais nchini Burundi wafanyika kwa amani





Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10