Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Togo; Uchaguzi wa rais kesho

Wapiga kura nchini Togo watamiminika vituoni kesho Jumamosi kumchagua rais mpya kwa muhula mingine wa miaka mitano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UCHAGUZI WA RAIS NCHINI TOGO UNAFANYIKA LEO JUMAMOSI

Rais wa Togo wa sasa anayewania kurudi madarakani, Faure Gnassingbe alipokuwa akipiga kura yake mapema hii leo. Raia wa Togo wakiwa katika vituo vyao vya kupigia kura. Uchaguzi wa Rais wa Togo unafanyika leo Jumamosi. Wananchi wa Togo wamefika mapema kwenye vituo vyao vya kupigia kura kwa ajili ya kumchagua Rais Mpya wa nchi hiyo. Tume huru ya uchaguzi ya Togo imetangaza kuwa, raia wapatao 3,590,258 ndio wanatarajiwa kupiga kura...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Rais: Wanigeria kuamua kesho

Raia wa Nigeria kesho wanatarajiwa kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana Togo kupinga matokeo ya uchaguzi

Maelfu ya waandamanaji wameandamana kwenye mji mkuu wa Togo, Lome kupinga matokeo ya uchaguzi wa mwezi uliopita

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu wa Afghanistan ni kesho

Mamilioni ya waafghanistan watapiga kura jumamosi kumchagua rais atakayemrithi Hamid Karzai katika uchaguzi mkuu .

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Mkuu Uingereza kufanyika kesho

Uchaguzi mkuu nchini Uingereza kufanyika kesho, huku viongozi wa vyama na wagombea wakikamisha kampeni zao Jumatano

 

10 years ago

GPL

UINGEREZA KUFANYA UCHAGUZI MKUU KESHO

Baadhi ya viongozi wanaowania nafasi ya Uwaziri Mkuu Uingereza. VIONGOZI wa vyama na wagombea huko Uingereza wanafanya kampeni zao za mwisho kuwashawishi wapiga kura wawapigie kura kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika hapo kesho (Mei 7, 2015). Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani