Togo; Uchaguzi wa rais kesho
Wapiga kura nchini Togo watamiminika vituoni kesho Jumamosi kumchagua rais mpya kwa muhula mingine wa miaka mitano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iad4jOhX0Z0i2UifRxmN9RrUcfE-K25FkXs50ynhcNif7kEaxu6db2t4rdl4SbAi0zVY*CjqhxmpQ-PtT06s14tFdvcqc2bg/togooo.jpg?width=650)
UCHAGUZI WA RAIS NCHINI TOGO UNAFANYIKA LEO JUMAMOSI
Rais wa Togo wa sasa anayewania kurudi madarakani, Faure Gnassingbe alipokuwa akipiga kura yake mapema hii leo. Raia wa Togo wakiwa katika vituo vyao vya kupigia kura. Uchaguzi wa Rais wa Togo unafanyika leo Jumamosi. Wananchi wa Togo wamefika mapema kwenye vituo vyao vya kupigia kura kwa ajili ya kumchagua Rais Mpya wa nchi hiyo. Tume huru ya uchaguzi ya Togo imetangaza kuwa, raia wapatao 3,590,258 ndio wanatarajiwa kupiga kura...
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Uchaguzi wa Rais: Wanigeria kuamua kesho
Raia wa Nigeria kesho wanatarajiwa kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo
10 years ago
BBCSwahili17 May
Waandamana Togo kupinga matokeo ya uchaguzi
Maelfu ya waandamanaji wameandamana kwenye mji mkuu wa Togo, Lome kupinga matokeo ya uchaguzi wa mwezi uliopita
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Uchaguzi mkuu wa Afghanistan ni kesho
Mamilioni ya waafghanistan watapiga kura jumamosi kumchagua rais atakayemrithi Hamid Karzai katika uchaguzi mkuu .
10 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi Mkuu Uingereza kufanyika kesho
Uchaguzi mkuu nchini Uingereza kufanyika kesho, huku viongozi wa vyama na wagombea wakikamisha kampeni zao Jumatano
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ve0GOSCWJai1ry5aGme8FA-bleWMEQ8gOvMOukNgEntnkOHOYer*3OC57HidiodXHDfGJbrFXwtH2kCXVWbYGPSlXN9cMGeh/UK.jpg?width=650)
UINGEREZA KUFANYA UCHAGUZI MKUU KESHO
Baadhi ya viongozi wanaowania nafasi ya Uwaziri Mkuu Uingereza. VIONGOZI wa vyama na wagombea huko Uingereza wanafanya kampeni zao za mwisho kuwashawishi wapiga kura wawapigie kura kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika hapo kesho (Mei 7, 2015). Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ac5AYlNgM9o/VjDrVxtvHBI/AAAAAAABYOI/rRKDALR-qxA/s72-c/1.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s72-c/1.png)
TUME YA TAIFA TA UCHAGUZI YATOA RATIBA YA MABADILIKO YA MIKUTANO YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA RAIS, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s640/1.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vx3uvlGbi6I/VhIKg543f9I/AAAAAAAACUQ/Dc9fln4PkgA/s640/3%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RFwFoYuRzww/VhIKhIzrxII/AAAAAAAACUM/OZ2T-GSuAa0/s640/4%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdQuBh595Mo/VhIKhy5CmDI/AAAAAAAACUY/rawgMs319Sk/s640/5%2Boktoba2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P6ZB3jXFF6A/VhIKiqjQrDI/AAAAAAAACUs/Nuj8u6qC76c/s640/6%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X0S7fWtlbP8/VhIKika2BNI/AAAAAAAACUo/UZ6w4KvIWW8/s640/7%2Boktoba%2B2015.png)
Chanzo: Tume ya Taifa ya Uchaguzi Blog
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania