Uchaguzi wa Rais: Wanigeria kuamua kesho
Raia wa Nigeria kesho wanatarajiwa kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 May
Rais Kikwete awapa rambirambi Wanigeria
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametoa salamu za rambirambi na pole nyingi kwa Rais wa Jamhuri ya Nigeria Mheshimiwa Goodluck Jonathan na wananchi wa Nigeria kufuatia mfululizo wa vitendo vya ugaidi ambavyo vimepoteza maisha ya maelefu ya wananchi wa nchi hiyo na kutekwa nyara kwa mamia ya watu wakiwemo wanafunzi wa kike wa sekondari.
Katika salamu zake za pole kwa Rais Jonathan, Rais Kikwete amesema: “Napenda kutoa salamu za rambirambi na pole...
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Togo; Uchaguzi wa rais kesho
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Wapigakura 504,133 kuamua Rais wa Z’bar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
WAZANZIBAR 504,133, wanatarajia kutoa uamuzi kwa kupiga kura ya kuamua nani awe rais wa Zanzibar kati ya wagombea 14 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu.
Akizungumza na MTANZANIA ofisini kwake Maisara jana, Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Salum Kassim Ali, alisema idadi hiyo imepatikana baada ya kukamilika kazi ya uandikishaji wapigakura wapya pamoja na uhakiki wa kuwaondoa watu waliofariki dunia.
Alisema kazi...
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Siri ya ushindi: Mikoa tisa kuamua rais
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Wanigeria wasifiwa kwa uvumilivu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIkVRPqb3plqonKfw51WM6EDjmlhNoZQutQvpBv6U31CMmkYwLHD35dvd*zqW5H6mjSE-tw2Uj2jUrONi-At4U1s/PicMonkeyCollage.jpg?width=650)
KWA NINI WANIGERIA WANAKIMBIZA KWENYE TELEVISHENI?
11 years ago
Habarileo20 Mar
Wanigeria 3 wadaiwa kukutwa na ‘unga’ kwenye vitabu
RAIA watatu wa Nigeria na Mtanzania, wamekamatwa na polisi jijini Dar es Salaam wakituhumiwa wakitaka kusafirisha dawa za kulevya, zikiwa kwenye vitabu kwenda nje ya nchi. Watuhumiwa hao wanadaiwa walikuwa katika harakati za kutuma dawa hizo kwa kutumia Wakala wa Usafirishaji Mizigo ya DHL kwenda Liberia.
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Uchaguzi mkuu wa Afghanistan ni kesho