Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi wa Rais: Wanigeria kuamua kesho

Raia wa Nigeria kesho wanatarajiwa kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete awapa rambirambi Wanigeria

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametoa salamu za rambirambi na pole nyingi kwa Rais wa Jamhuri ya Nigeria Mheshimiwa Goodluck Jonathan na wananchi wa Nigeria kufuatia mfululizo wa vitendo vya ugaidi ambavyo vimepoteza maisha ya maelefu ya wananchi wa nchi hiyo na kutekwa nyara kwa mamia ya watu wakiwemo wanafunzi wa kike wa sekondari.

Katika salamu zake za pole kwa Rais Jonathan, Rais Kikwete amesema: “Napenda kutoa salamu za rambirambi na pole...

 

10 years ago

BBCSwahili

Togo; Uchaguzi wa rais kesho

Wapiga kura nchini Togo watamiminika vituoni kesho Jumamosi kumchagua rais mpya kwa muhula mingine wa miaka mitano.

 

9 years ago

Mtanzania

Wapigakura 504,133 kuamua Rais wa Z’bar

zecNa Mwandishi Wetu, Zanzibar

WAZANZIBAR 504,133, wanatarajia kutoa uamuzi kwa kupiga kura ya kuamua nani awe rais wa Zanzibar kati ya wagombea 14 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu.

Akizungumza na MTANZANIA ofisini kwake Maisara jana, Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Salum Kassim Ali, alisema idadi hiyo imepatikana baada ya kukamilika kazi ya uandikishaji wapigakura wapya pamoja na uhakiki wa kuwaondoa watu waliofariki dunia.

Alisema kazi...

 

9 years ago

Mwananchi

Siri ya ushindi: Mikoa tisa kuamua rais

Mikoa tisa ndiyo itakayoamua mshindi wa kinyang’anyiro cha urais, Mwananchi inaweza kukuthibitishia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanigeria wasifiwa kwa uvumilivu

Wapigaji kura wa Nigeria wapata sifa kwa kuonesha ustahmilivu juu ya shida katika uchaguzi

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WANIGERIA WANAKIMBIZA KWENYE TELEVISHENI?

Na Arme Nando Katika siku za hivi karibuni, imekuwa kawaida kwa vituo vya televisheni vya Bongo kupiga sana video za muziki za wasanii wa Kinigeria kuliko hata za wazawa. Mkali wa Bongo Fleva, Nasib Abdul, 'Diamond Platinum'.
Kila kukicha wasanii wa Nigeria wanazidi kuongezeka na kazi zao zinazidi kuwa nzuri. Mfano wa wasanii waliochipukia juzijuzi na kupata umaarufu mkubwa ni Runtown na ngoma yake Gallardo, Pakorant na ngoma...

 

11 years ago

Habarileo

Wanigeria 3 wadaiwa kukutwa na ‘unga’ kwenye vitabu

RAIA watatu wa Nigeria na Mtanzania, wamekamatwa na polisi jijini Dar es Salaam wakituhumiwa wakitaka kusafirisha dawa za kulevya, zikiwa kwenye vitabu kwenda nje ya nchi. Watuhumiwa hao wanadaiwa walikuwa katika harakati za kutuma dawa hizo kwa kutumia Wakala wa Usafirishaji Mizigo ya DHL kwenda Liberia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu wa Afghanistan ni kesho

Mamilioni ya waafghanistan watapiga kura jumamosi kumchagua rais atakayemrithi Hamid Karzai katika uchaguzi mkuu .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani