Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanigeria wasifiwa kwa uvumilivu

Wapigaji kura wa Nigeria wapata sifa kwa kuonesha ustahmilivu juu ya shida katika uchaguzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KWA NINI WANIGERIA WANAKIMBIZA KWENYE TELEVISHENI?

Na Arme Nando Katika siku za hivi karibuni, imekuwa kawaida kwa vituo vya televisheni vya Bongo kupiga sana video za muziki za wasanii wa Kinigeria kuliko hata za wazawa. Mkali wa Bongo Fleva, Nasib Abdul, 'Diamond Platinum'.
Kila kukicha wasanii wa Nigeria wanazidi kuongezeka na kazi zao zinazidi kuwa nzuri. Mfano wa wasanii waliochipukia juzijuzi na kupata umaarufu mkubwa ni Runtown na ngoma yake Gallardo, Pakorant na ngoma...

 

10 years ago

Habarileo

Urafiki wa Unguja na Ujerumani wasifiwa

USHIRIKIANO kati ya shule ya Mwanakwerekwe ya mjini Unguja na shule ya Bruno-H-Burgel ya mjini Postdam Ujerumani sio tu ni kielelezo cha urafiki na ukaribu wa wananchi wa Zanzibar na Ujerumani, bali pia unadhihirisha dhamira ya kweli waliyonayo wananchi wa nchi hizo ya kuimarisha ushirikiano wao kihistoria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Rais: Wanigeria kuamua kesho

Raia wa Nigeria kesho wanatarajiwa kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete awapa rambirambi Wanigeria

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametoa salamu za rambirambi na pole nyingi kwa Rais wa Jamhuri ya Nigeria Mheshimiwa Goodluck Jonathan na wananchi wa Nigeria kufuatia mfululizo wa vitendo vya ugaidi ambavyo vimepoteza maisha ya maelefu ya wananchi wa nchi hiyo na kutekwa nyara kwa mamia ya watu wakiwemo wanafunzi wa kike wa sekondari.

Katika salamu zake za pole kwa Rais Jonathan, Rais Kikwete amesema: “Napenda kutoa salamu za rambirambi na pole...

 

11 years ago

Habarileo

Wanigeria 3 wadaiwa kukutwa na ‘unga’ kwenye vitabu

RAIA watatu wa Nigeria na Mtanzania, wamekamatwa na polisi jijini Dar es Salaam wakituhumiwa wakitaka kusafirisha dawa za kulevya, zikiwa kwenye vitabu kwenda nje ya nchi. Watuhumiwa hao wanadaiwa walikuwa katika harakati za kutuma dawa hizo kwa kutumia Wakala wa Usafirishaji Mizigo ya DHL kwenda Liberia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wajumbe hawana uvumilivu wa kisiasa’

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Bernadeta Kiliani, amesema kitendo kinachoendelea ndani ya bunge hilo kwa baadhi ya wajumbe kuzomeana na kutosikilizana ni ukosefu wa uvumilivu wa kisiasa. Alisema ni...

 

11 years ago

Habarileo

Kanisa lapongeza uvumilivu Zanzibar

KANISA Katoliki leo linaadhimisha miaka 150 ya Imani Endelevu Katoliki Jimbo la Zanzibar huku likisifu uvumilivu wa kiimani uliokuwapo karne kadhaa na kulaani watu wachache wanaotumiwa kuharibu amani visiwani. Viongozi wa kanisa hilo wamesema matukio ya mwishoni mwa mwaka juzi na mapema mwaka jana ya baadhi ya viongozi wa Kanisa kuuawa kwa kupigwa risasi, kujeruhiwa na wengine akiwamo Shehe kumwagiwa tindikali, yalikusudiwa kuvuruga udugu uliodumu kwa amani karne na karne.

 

10 years ago

Mwananchi

Dida: Ni uvumilivu unaonisaidia Yanga

Deogratius Bonventure Munishi ‘Dida’ akikaa golini, mashabiki wa Yanga wanakuwa hawana presha. Huyu ni kipa namba moja wa Yanga na Taifa Stars.

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr ataka uvumilivu Simba

kerr kazini simba 34NA MWALI IBRHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amewataka wachezaji wake kuwa wavumilivu kutokana na aina ya mazoezi watakayofanya watakapokuwa kambini visiwani Zanzibar kwa lengo la kuwaongezea kasi tofauti na ilivyokuwa katika mechi zilizopita.

Ikiwa kambini Simba inatarajia kucheza mechi mbili za kirafiki kujipima nguvu kabla ya kurejea kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC utakaopigwa Desemba 12,  mwaka huu katika Uwanja wa Uwanja wa Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani