Urafiki wa Unguja na Ujerumani wasifiwa
USHIRIKIANO kati ya shule ya Mwanakwerekwe ya mjini Unguja na shule ya Bruno-H-Burgel ya mjini Postdam Ujerumani sio tu ni kielelezo cha urafiki na ukaribu wa wananchi wa Zanzibar na Ujerumani, bali pia unadhihirisha dhamira ya kweli waliyonayo wananchi wa nchi hizo ya kuimarisha ushirikiano wao kihistoria.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Wanigeria wasifiwa kwa uvumilivu
11 years ago
Michuzi
URAFIKI WA KWELI


10 years ago
GPL
URAFIKI WA NORTH, PENELOPE NI GUMZO
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Urafiki wa China tuuangalie vema
KATIKA siku za karibuni nimekuwa ninapata wasi wasi ninaposikia au kuona nchi yetu inawafungulia milango Wachina kama ndugu na marafiki tunaotarajia kuchangia maendeleo ya nchi yetu. Hali hii haitokani na labda...
9 years ago
TheCitizen12 Nov
Urafiki textile mills workers go on strike
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Tuico yaingilia kati mgomo wa Urafiki
10 years ago
Daily News02 Mar
Urafiki loses appeal over minimum wages
Daily News
AN attempt by the Managing Director of Tanzania-China Friendship Textile Company to oppose payments of monthly minimum rate of 150,000/- to his employees has proved futile. This follows the decision of the Court of Appeal to dismiss an appeal he ...
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Serikali yafunga Kiwanda cha Urafiki
MAULI MUYENJWA NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
SERIKALI imekifunga Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kutokana na mgomo wa wafanyakazi uliotokea jana wakiutaka uongozi kuwalipa malimbikizo ya madai yao ikiwamo mishahara.
Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Paul Makonda, alitangaza kukifunga kiwanda hicho hadi Desemba 7 mwaka huu yatakapotolewa majibu ya kuridhisha kuhusu changamoto zilizosababisha mgomo huo.
Mgomo katika kiwanda hicho ulianza wiki kadhaa zilizopita ambako mkuu huyo wa wilaya aliuagiza...
11 years ago
GPL
FLORA: MTOTO KAVUNJA URAFIKI WETU NA NISHA