Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urafiki wa China tuuangalie vema

KATIKA siku za karibuni  nimekuwa ninapata wasi wasi ninaposikia au kuona nchi yetu inawafungulia milango Wachina kama ndugu na marafiki tunaotarajia kuchangia maendeleo ya nchi yetu. Hali hii haitokani na labda...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MBOWE: Ninaendelea vema

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe amesema uchovu ndiyo sababu iliyomfanya kuugua ghafla jana na kulazwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili, jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni vema tuwafahamu wagombea sasa

KATIKA siku za hivi karibuni kumekuwa na mjadala wa kisiasa unaotokana na onyo lililotolewa na viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwaonya wanachama wake wenye nia ya kugombea...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni vema kutafiti kabla kuwadharau wasanii

WIKI iliyopita kwenye gazeti hili (la Raia Mwema) kulikuwa na makala yenye kichwa: “Baraza jipya

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YAJIANDAA VEMA NA USIMAMIZI WA URANI


 Picha mbali mbali za wajumbe na viongozi na wataalamu (washauri) kutoka shirika la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) pamoja na wafanyakazi wa Tume ya nguvu za Atomiki Tanzania wakiwa katika semina ya juu ya usimamizi wa sheria na kanuni za usimamizi wa mionzi ya nyuklia Tanzania, iliyofanyika makao makuu ya Tume ya Mionzi Tanzania yaliyopo jijini Arusha. Picha na Yohana Challe.
NA; YOHANA CHALLE ARUSHA.TUME ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), imesema kuwa imejiandaa vilivyo katika usimamizi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watendaji Njombe kutumia vema baraza la biashara

WATENDAJI wa Wilaya za Mkoa wa Njombe, wametakiwa kutumia fursa ya uwepo wa Baraza la Biashara la Mkoa kuunganisha sekta ya umma na binafsi kujadili kutatua changamoto zilizopo katika biashara...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je ni vema wanaume waende haja ndogo wamesimama au wameketi?

Wengi wa wanaume huenda haja ndogo bila kufikiria, lakini ni nini huwafanyanya wachague njia ya kujisaidia haja ndogo? Kuna sababu muhimu - utamaduni, jamii na hata siasa - ambazo zimewafanya wanaume waende haja hiyo namna hiyo, lakini labda ni wakati wa kuzingatia suala la mtizamo wa kiafya na usafi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Liberatus Sabas aeleze vema sakata la Mauaji haya

TUKIELEKEA kuandika kwa ujumla kuhusu Jeshi la Polisi nchini, wapo wanaofikiri kuwa ujumbe unawahusu wengine, au wengine hufikiri kuwa msiba wa wengi ni furaha. Ni kutokana na hali hiyo wengi...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa Arusha waeleza kuzipokea vema sheria ya mtandao

Sheria za makosa ya mtandao na miamala ya kielektoniki za mwaka 2015 zimeonesha kupokelewa vema na wakazi wa jiji la Arusha kutokana na adha mbalimbali walizokuwa wanakabiliana nazo kabla ya kuanza kwa sheria hizo.

Wakazi hao wameonesha kufurahishwa na jitihada zinazofanywa na Serikali kupambana na makosa ya mtandao hasa katika nyakati hizi ambapo matukio ya namna hiyo   yameshamri.

 

Wakati wananchi wakizungumza hayo Wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia imeandaa kikao...

 

11 years ago

Michuzi

URAFIKI WA KWELI

 Kuku na vifaranga vyake wakisaidiana kufanya kazi ya kula wadudu waliokuwepo kwa Mbwa huyu kama kamera yetu ilivyofanikiwa kuinasa taswira hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani