Urafiki wa China tuuangalie vema
KATIKA siku za karibuni nimekuwa ninapata wasi wasi ninaposikia au kuona nchi yetu inawafungulia milango Wachina kama ndugu na marafiki tunaotarajia kuchangia maendeleo ya nchi yetu. Hali hii haitokani na labda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Aug
MBOWE: Ninaendelea vema
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Ni vema tuwafahamu wagombea sasa
KATIKA siku za hivi karibuni kumekuwa na mjadala wa kisiasa unaotokana na onyo lililotolewa na viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwaonya wanachama wake wenye nia ya kugombea...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Ni vema kutafiti kabla kuwadharau wasanii
WIKI iliyopita kwenye gazeti hili (la Raia Mwema) kulikuwa na makala yenye kichwa: “Baraza jipya
Mwandishi Wetu
9 years ago
MichuziTANZANIA YAJIANDAA VEMA NA USIMAMIZI WA URANI
NA; YOHANA CHALLE ARUSHA.TUME ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), imesema kuwa imejiandaa vilivyo katika usimamizi wa...
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Watendaji Njombe kutumia vema baraza la biashara
WATENDAJI wa Wilaya za Mkoa wa Njombe, wametakiwa kutumia fursa ya uwepo wa Baraza la Biashara la Mkoa kuunganisha sekta ya umma na binafsi kujadili kutatua changamoto zilizopo katika biashara...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Je ni vema wanaume waende haja ndogo wamesimama au wameketi?
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Liberatus Sabas aeleze vema sakata la Mauaji haya
TUKIELEKEA kuandika kwa ujumla kuhusu Jeshi la Polisi nchini, wapo wanaofikiri kuwa ujumbe unawahusu wengine, au wengine hufikiri kuwa msiba wa wengi ni furaha. Ni kutokana na hali hiyo wengi...
9 years ago
StarTV18 Sep
Wakazi wa Arusha waeleza kuzipokea vema sheria ya mtandao
Sheria za makosa ya mtandao na miamala ya kielektoniki za mwaka 2015 zimeonesha kupokelewa vema na wakazi wa jiji la Arusha kutokana na adha mbalimbali walizokuwa wanakabiliana nazo kabla ya kuanza kwa sheria hizo.
Wakazi hao wameonesha kufurahishwa na jitihada zinazofanywa na Serikali kupambana na makosa ya mtandao hasa katika nyakati hizi ambapo matukio ya namna hiyo yameshamri.
Wakati wananchi wakizungumza hayo Wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia imeandaa kikao...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3vun6xNQZq0/UzsTardhAtI/AAAAAAAFXvY/zKJLljtWKOs/s72-c/MMG20048.jpg)
URAFIKI WA KWELI
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vun6xNQZq0/UzsTardhAtI/AAAAAAAFXvY/zKJLljtWKOs/s1600/MMG20048.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3LJ6wmCtvmc/UzsTcXBw3_I/AAAAAAAFXvg/6A8qlcqBr0g/s1600/MMG20049.jpg)