Ni vema tuwafahamu wagombea sasa
KATIKA siku za hivi karibuni kumekuwa na mjadala wa kisiasa unaotokana na onyo lililotolewa na viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwaonya wanachama wake wenye nia ya kugombea...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouurpNlx5kKakqHONPHv6vY0PtbR8HGqgvdF1FqAzoRappzhLXHzcKdkCUEEud1e4B8zuWxw9GwCkI-rnOKnu2Bm0/HamisiKigwangalla.jpg?width=650)
IPO HAJA KWA WAGOMBEA URAIS KUJITANGAZA SASA
9 years ago
StarTV25 Sep
Mdahalo wa wagombea Ukawa wadai hawana muda kwa sasa
Umoja wa Vyama vinavyounda Ukawa umesema kwa sasa haupo tayari kushiriki midahalo inayoandaliwa na Taasisi za Kijamii kwa wakati ni huu na kupinga kauli iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania, Kajubi Mukajanga kuwa amewapa mwaliko si kweli.
Ukawa wamesema, si kweli kwamba wamepata mwaliko kutoka MCT na kudai kuwa kauli ya kiongozi huyo wa chombo kinachoheshimika ni ya upotosha.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Mwenyekiti mweza wa Umoja wa Ukawa,...
10 years ago
Mwananchi11 Aug
MBOWE: Ninaendelea vema
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Urafiki wa China tuuangalie vema
KATIKA siku za karibuni nimekuwa ninapata wasi wasi ninaposikia au kuona nchi yetu inawafungulia milango Wachina kama ndugu na marafiki tunaotarajia kuchangia maendeleo ya nchi yetu. Hali hii haitokani na labda...
9 years ago
MichuziTANZANIA YAJIANDAA VEMA NA USIMAMIZI WA URANI
NA; YOHANA CHALLE ARUSHA.TUME ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), imesema kuwa imejiandaa vilivyo katika usimamizi wa...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Ni vema kutafiti kabla kuwadharau wasanii
WIKI iliyopita kwenye gazeti hili (la Raia Mwema) kulikuwa na makala yenye kichwa: “Baraza jipya
Mwandishi Wetu
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Watendaji Njombe kutumia vema baraza la biashara
WATENDAJI wa Wilaya za Mkoa wa Njombe, wametakiwa kutumia fursa ya uwepo wa Baraza la Biashara la Mkoa kuunganisha sekta ya umma na binafsi kujadili kutatua changamoto zilizopo katika biashara...
9 years ago
StarTV18 Sep
Wakazi wa Arusha waeleza kuzipokea vema sheria ya mtandao
Sheria za makosa ya mtandao na miamala ya kielektoniki za mwaka 2015 zimeonesha kupokelewa vema na wakazi wa jiji la Arusha kutokana na adha mbalimbali walizokuwa wanakabiliana nazo kabla ya kuanza kwa sheria hizo.
Wakazi hao wameonesha kufurahishwa na jitihada zinazofanywa na Serikali kupambana na makosa ya mtandao hasa katika nyakati hizi ambapo matukio ya namna hiyo yameshamri.
Wakati wananchi wakizungumza hayo Wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia imeandaa kikao...