Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi wa Arusha waeleza kuzipokea vema sheria ya mtandao

Sheria za makosa ya mtandao na miamala ya kielektoniki za mwaka 2015 zimeonesha kupokelewa vema na wakazi wa jiji la Arusha kutokana na adha mbalimbali walizokuwa wanakabiliana nazo kabla ya kuanza kwa sheria hizo.

Wakazi hao wameonesha kufurahishwa na jitihada zinazofanywa na Serikali kupambana na makosa ya mtandao hasa katika nyakati hizi ambapo matukio ya namna hiyo   yameshamri.

 

Wakati wananchi wakizungumza hayo Wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia imeandaa kikao...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wakazi wa Arusha wafuraishwa na matumizi ya sheria ya makosa ya mitandao.

 

Sheria za makosa ya mtandao na miamala ya kielektoniki za mwaka 2015 zimeonesha kupokelewa vema na wakazi wa jiji la Arusha kutokana na adha mbalimbali walizokuwa wanakabiliana nazo kabla ya kuanza kwa sheria hizo.

Wakazi hao wameonesha kufurahishwa na jitihada zinazofanywa na Serikali kupambana na makosa ya mtandao hasa katika nyakati hizi ambapo matukio ya namna hiyo   yameshamri.

Wakati wananchi wakizungumza hayo Wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia imeandaa kikao...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtandao waeleza kasoro za kampeni

Mtandao wa Kuangalia Chaguzi Tanzania (Tacceo), umetoa ripoti kuhusu kampeni za Uchaguzi Mkuu zilizoanza Agosti 23, huku ukiweka wazi ‘madoa’ yanayozichafua.

 

10 years ago

Michuzi

Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015

 Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini, Tanzania Bloggers Network (TBN) tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutumia mamlaka yake vyema kwa kutokupitisha muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 unaokandamiza uhuru wa mawasiliano mitandaoni.  Muswada wa sheria ya makosa ya Mtandaoni unaainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, na kuweka utaratibu wa upelelezi, ukusanyaji na matumizi...

 

9 years ago

Michuzi

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAKIRI WAZI HAIJAPATA KUTOKEA,WAELEZA HISIA ZAO KUWA MAGUFULI ANATOSHA NAFASI YA URAIS.

 Dkt. Magufuli (katikati) akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Nyamagana (pichani kulia) Ndugu Stanslaus Mabula mbele ya Maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza kwenye mkutano wa kampeni katika viwanja vya Furahisha jioni ya leo.Baadhi ya wakazi wa jiji la Mwanza waliohojiwa na Globu ya Jamii walieleza na kukiri wazi kuwa haijawahi kutokea kwa mapokezi haya makubwa na ya aina yake,na kuwa Magufuli ndiye anaetosha kuvaa viatu vya Urais. Dk Magufuli (katikati) akiwanadi Mgombea Ubunge Jimbo la Ilemela,...

 

5 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA ARUSHA IDD KIMANTA AMTAKA DC BALELE KUSIMAMA VEMA KUHAKIKISHA HAKUNA HATI CHAFU MONDULI

Na Woinde Shizza , Michuzi Tv-Monduli

MKUU wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta amemueleza Mkuu wa Wilaya ya Monduli ACP Edward Balele kuwa Wilaya ya Monduli haijawai kupata hati chafu tokea Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, hivyo amemtaka aendelee kusimamia vyema ili hati chafu isiwepo..

Kimanta ameyasema hayo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu huyo wa Wilaya katika ofisi za Wilaya ya Monduli na kisha kuzungumza na watumishi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya na halmashauri.Amemtaka Mkuu uyo wa...

 

9 years ago

GPL

SHERIA YA MTANDAO INAMFILISI 50

Mwanamuziki wa Hip Hop kutoka nchini Marekani, 50 Cent. WALE wanaopenda muziki wa Hip Hop au wanaofuatilia showbiz ya kimataifa wanafahamu vizuri jinsi 50 Cent alivyo na ‘sinema’ nyingi katika maisha yake. Moja kati ya mijengo anayomiliki 50 Cent. 50 Cent ambaye alikulia katika maisha ya kifukara kabla ya kupata utajiri mkubwa, amekuwa ni mtu wa kutawala katika vyombo vya habari kwa mambo tofauti, ikiwemo bifu, kutambia...

 

9 years ago

Mtanzania

Sheria ya mtandao yanasa watano

Suleiman-KovaAsifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kutumia vibaya mitandao ya kijamii kufanya uhalifu wa  kutengeneza habari za uongo na uzushi dhidi ya viongozi au watu maarufu.

Akizungumza  na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova alisema watu hao wamekuwa wakitumia vibaya majina ya watu maarufu hasa wanasiasa.

Kova alitaja majina...

 

11 years ago

Mwananchi

Wahalifu mtandao ni kutungiwa sheria

Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, imesema inaandaa sheria mpya ya usalama na uwezeshaji wa mitambo ya kuweka kumbukumbu ili kudhibiti matukio ya uhalifu wa mtandao.

 

9 years ago

GPL

SHERIA YA MTANDAO YAMKUNA MAI

Mtangazaji maarufu wa televisheni Bongo, Maimartha Jesse. Gladness Mallya MTANGAZAJI maarufu wa televisheni Bongo, Maimartha Jesse amekunwa na sheria ya mtandao iliyoanza kutumika hivi karibuni kwa kile alichosema matusi dhidi yake yamepungua. Akichonga na gazeti hili, Maimartha alisema amefurahi kupitishwa kwa sheria hiyo kwani alikuwa ni mtu wa kutukanwa kila siku na kwa ajili hiyo anamshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuridhia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani