Wanigeria 3 wadaiwa kukutwa na ‘unga’ kwenye vitabu
RAIA watatu wa Nigeria na Mtanzania, wamekamatwa na polisi jijini Dar es Salaam wakituhumiwa wakitaka kusafirisha dawa za kulevya, zikiwa kwenye vitabu kwenda nje ya nchi. Watuhumiwa hao wanadaiwa walikuwa katika harakati za kutuma dawa hizo kwa kutumia Wakala wa Usafirishaji Mizigo ya DHL kwenda Liberia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Mahakamani kwa kukutwa na ‘unga’ wa Sh244 milioni
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Wadaiwa kukutwa na sukari chafu Mbeya
11 years ago
GPLWAIRAN KIZIMBANI KWA KUKUTWA NA ‘UNGA’ MELINI
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa na pembe za faru
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa pembe za faru
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIkVRPqb3plqonKfw51WM6EDjmlhNoZQutQvpBv6U31CMmkYwLHD35dvd*zqW5H6mjSE-tw2Uj2jUrONi-At4U1s/PicMonkeyCollage.jpg?width=650)
KWA NINI WANIGERIA WANAKIMBIZA KWENYE TELEVISHENI?
9 years ago
StarTV30 Nov
 Utamaduni ya kujisomea vitabu wadaiwa kudorora kwa  Madadiliko Ya Kijamii
Kushuka kwa kiwango cha elimu nchini kunatajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na Watanzania kuacha utamaduni wa kujisomea ambapo mabadiliko ya kijamii yakidaiwa kuharibu utamaduni huo.
Inaelezwa kuwa watoto na wazazi huchukua muda mwingi kuangalia televisheni na hivyo kutotilia maanani suala la kujisomea na kuwahamasisha watoto kusoma vitabu mbalimbali vyenye mafunzo ya kuwajengea uwezo katika maisha yao.
Hili la kudumaa kwa utamaduni wa kujisomea limesababisha pia kudumaa na kushuka kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1mzJk3unQ_Q/VbdFp9eVb6I/AAAAAAAC9Bo/cDvvD9kqStk/s72-c/mPaper%2B1.png)
MAGAZETI, MAJARIDA NA VITABU VYOTE KWENYE SIMU YAKO YA MKONONI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1mzJk3unQ_Q/VbdFp9eVb6I/AAAAAAAC9Bo/cDvvD9kqStk/s640/mPaper%2B1.png)
Je umekwishawahi kukwama kwenye foleni ukajutia kutobeba gazeti walau likusaidie kusogeza muda mbele? Je umekwisha wahi kutafuta chanzo cha habari za uhakika kwenye simu yako ukakikosa?
Je umekwishawahi kuambiwa kuna tangazo la kazi au tenda ila ukashindwa kuliona kwa vile lipo kwenye gazeti la siku za nyuma? Je umeshawahi kulazimika kuchoma au kutupa magazeti ya siku za nyuma kwa sababu yamejaa sana nyumbani kwako? Au je umeshawahi kuhisi kuna umuhimu wa kuona watoto wako wanachojifunza...
9 years ago
Bongo514 Dec
Olivier Giroud aingia kwenye vitabu vya rekodi za Arsenal
![2F56C70800000578-0-image-m-23_1450049724758](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F56C70800000578-0-image-m-23_1450049724758-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal na timu ya tafifa ya Ufaransa Olivier Giroud baada ya kufunga wikiend hii amefikisha idadi ya magoli 50 katika ligi ya EPL goli hilo la mkwaju wa penati katika mchezo dhidi ya Aston Villa baada ya Alan Hutton kumvuta Theo Walcott kwenye eneo la box.
Giroud alifunga mkwaju huo wa penati na kufikisha magoli 14 msimu huu na kuwa mchezaji wa saba wa Arsenal kufunga magoli 50 kwenye ligi ya EPL wakati yeye ikimchukua michezo 113 kufikia rekodi hiyo.
Wachezaji...