Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakamani kwa kukutwa na ‘unga’ wa Sh244 milioni

Raia wa mmoja wa Ugiriki, Alexandris Athanasions (30) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kukamatwa akiingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroine zenye thamani ya Sh 244.350 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAIRAN KIZIMBANI KWA KUKUTWA NA ‘UNGA’ MELINI

Washitakiwa wakipelekwa kizimbani. Msafara wa kuelekea kizimbani. Wakisubiri kupandishwa…

 

11 years ago

Habarileo

Wanigeria 3 wadaiwa kukutwa na ‘unga’ kwenye vitabu

RAIA watatu wa Nigeria na Mtanzania, wamekamatwa na polisi jijini Dar es Salaam wakituhumiwa wakitaka kusafirisha dawa za kulevya, zikiwa kwenye vitabu kwenda nje ya nchi. Watuhumiwa hao wanadaiwa walikuwa katika harakati za kutuma dawa hizo kwa kutumia Wakala wa Usafirishaji Mizigo ya DHL kwenda Liberia.

 

10 years ago

CloudsFM

Chid Benz akiri kukutwa na madawa ya kulevya mahakamani,asubiri hukumu

Msanii wa Hip Hop,Bongo Chid Benz (29), amekiri mashtaka matatu yanayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ya kukutwa na dawa za kulevya, kifuu cha nazi na kijiko vinavyotumika kuvutia ama kunusa dawa hizo.
Chid Benz alikiri hivyo juzi Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi, Waliarwande Lema baada ya kuomba asomewe tena mashtaka yake. Aliomba hivyo muda mfupi baada ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali, Diana Lukendo aliyesema upelelezi haujakamilika...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bibi wa unga’ amwaga machozi mahakamani

Hatimaye bibi raia wa Nigeria aliyekamatwa na dawa za kulevya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA), jana aliangua kilio baada ya kupandishwa kizimbani na kusomewa shtaka la kusafirisha dawa za kulevya.

 

11 years ago

Habarileo

Mnigeria atuhumiwa kukutwa na dawa za kulevya za milioni 54/-

 Godfrey NzowaRAIA wa Nigeria, Okwubili Agu (40), amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) akiwa na pipi 71 za dawa za kulevya aina ya heroin, zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 54, alizokuwa amezimeza tumboni.

 

10 years ago

Habarileo

2 mbaroni kwa kukutwa na meno ya tembo

Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariWATU wawili wametiwa mbaroni na Polisi mjini Mpanda kwa kukutwa na meno ya tembo waliokamatwa yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 157 ndani ya basi la Adventure.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa kukutwa uchi mgodini

MKAZI wa Kijiji cha Kapanda, wilayani Mlele, Katavi, Yunge Maboja (70), amefariki dunia baada ya kushambuliwa na wananchi kwa kupigwa na silaha za jadi, ngumi na mateke baada ya kukutwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kukutwa na mifupa ya albino

Polisi mkoani Kagera wamedai kuwakamata watuhumiwa wawili wakiwa na mifupa inayodhamiwa kuwa ya binadamu mwenye ulemavu wa ngozi (albino), aliyefariki mwaka 2006 wa Kijiji cha Rushwa wilayani Muleba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani