Wadaiwa kukutwa na sukari chafu Mbeya
Mapya yamefichuka jijini hapa baada ya watu sita kushikiliwa polisi kwa tuhuma za kukutwa na tani 10 za sukari waliyokuwa wakiibadilisha kutoka kwenye mifuko ya kilo 50 kwenda mifuko ya kilo moja iliyotengenezwa nchini Malawi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa pembe za faru
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa na pembe za faru
11 years ago
Habarileo20 Mar
Wanigeria 3 wadaiwa kukutwa na ‘unga’ kwenye vitabu
RAIA watatu wa Nigeria na Mtanzania, wamekamatwa na polisi jijini Dar es Salaam wakituhumiwa wakitaka kusafirisha dawa za kulevya, zikiwa kwenye vitabu kwenda nje ya nchi. Watuhumiwa hao wanadaiwa walikuwa katika harakati za kutuma dawa hizo kwa kutumia Wakala wa Usafirishaji Mizigo ya DHL kwenda Liberia.
11 years ago
Habarileo28 Jun
Wadaiwa kuiba sukari ya mil. 90/-
WATU 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Daer es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa mifuko 1,312 ya sukari yenye thamani ya Sh milioni 90.5.
10 years ago
GPLUKAWA WADAIWA KUPEWA HELA CHAFU
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Bei za sukari, mchele zapanda Mbeya
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6wLHhRCmsGg/VooST1V7ywI/AAAAAAAALBw/7hwUlYbPCdU/s72-c/Image1.jpg)
MTU MMOJA ADAIWA KUKUTWA AMEFARIKI LEO ASUBUHI JIJINI MBEYA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6wLHhRCmsGg/VooST1V7ywI/AAAAAAAALBw/7hwUlYbPCdU/s640/Image1.jpg)
Kifo cha Mtu huyo ambaye inaelezwa ni kijana wa makamo alikutwa amefariki kwenye uchochoro wa nymba hiyo mara baada ya kubainika na baadhi ya Wananchi,waliokuwa wakikatiza mtaa huo kuelekea mtaa mwingine,Baadhi ya Mashudhua wa eneo hilo wameeleza kuwa mtu huyo si mkazi wa mtaa huo,
"Mtu huyo si Mkazi wa Eneo...
11 years ago
Mwananchi25 May
Usambazaji wa sukari Mbeya wamkera Waziri wa Kilimo
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s72-c/Sukari%2B1.jpg)
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s640/Sukari%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...