Wadaiwa kuiba sukari ya mil. 90/-
WATU 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Daer es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa mifuko 1,312 ya sukari yenye thamani ya Sh milioni 90.5.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Wadaiwa kukutwa na sukari chafu Mbeya
10 years ago
Habarileo28 Aug
Mhasibu adaiwa kuiba mil. 48/-
MHASIBU wa Kampuni ya Afro Impex Limited, Paul Tarimo (31) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kujibu mashitaka ya wizi.
11 years ago
Habarileo02 Jul
Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-
MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.
11 years ago
Habarileo20 Mar
Waiodaiwa kuiba mil. 155/- waachiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru washitakiwa wawili waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka ya kughushi na wizi wa Sh milioni 155.7 kupitia akaunti za benki.
11 years ago
Habarileo17 Jan
Ofisa Ugavi adaiwa kuiba karatasi za mil. 47
OFISA Ugavi, Flora Ntubika (41) leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa karatasi zenye thamani ya Sh milioni 47.4. Ntubika alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi, Gabriel Mirumbe.
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Polisi 14 nguvuni kwa kuiba mali ya Sh900 mil
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Walimu Mwanza wadaiwa kufuja mil. 33.6/-
JESHI la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa wilayani Misungwi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za Serikali sh. milioni 33.6. Kamanda wa Polisi mkoa, Valentino Mlowola aliwataja...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wahasibu Muhimbili wadaiwa kuomba rushwa mil. 1.5
WAHASIBU wasaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 1.5.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s72-c/Sukari%2B1.jpg)
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s640/Sukari%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...