Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadaiwa kuiba sukari ya mil. 90/-

WATU 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Daer es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa mifuko 1,312 ya sukari yenye thamani ya Sh milioni 90.5.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wadaiwa kukutwa na sukari chafu Mbeya

Mapya yamefichuka jijini hapa baada ya watu sita kushikiliwa polisi kwa tuhuma za kukutwa na tani 10 za sukari waliyokuwa wakiibadilisha kutoka kwenye mifuko ya kilo 50 kwenda mifuko ya kilo moja iliyotengenezwa nchini Malawi.

 

10 years ago

Habarileo

Mhasibu adaiwa kuiba mil. 48/-

MHASIBU wa Kampuni ya Afro Impex Limited, Paul Tarimo (31) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kujibu mashitaka ya wizi.

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-

MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.

 

11 years ago

Habarileo

Waiodaiwa kuiba mil. 155/- waachiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru washitakiwa wawili waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka ya kughushi na wizi wa Sh milioni 155.7 kupitia akaunti za benki.

 

11 years ago

Habarileo

Ofisa Ugavi adaiwa kuiba karatasi za mil. 47

OFISA Ugavi, Flora Ntubika (41) leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa karatasi zenye thamani ya Sh milioni 47.4. Ntubika alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi, Gabriel Mirumbe.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi 14 nguvuni kwa kuiba mali ya Sh900 mil

Polisi mkoani Ruvuma, wameingia katika kashfa, baada ya askari wake kutuhumiwa kuiba vitu vyenye thamani ya zaidi ya Sh900 milioni waliyokuwa wakivilinda. Vitu hivyo ni mali ya mkandarasi aliyefukuzwa katika mradi wa ujenzi wa Barabara ya Namtumbo hadi Tunduru.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Mwanza wadaiwa kufuja mil. 33.6/-

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa wilayani Misungwi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za Serikali sh. milioni 33.6. Kamanda wa Polisi mkoa, Valentino Mlowola aliwataja...

 

11 years ago

Habarileo

Wahasibu Muhimbili wadaiwa kuomba rushwa mil. 1.5

WAHASIBU wasaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 1.5.

 

9 years ago

Michuzi

RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla akiwa kwenye ukaguzi wa kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani humo, kama sehemu ya kuangalia hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. Picha na Mpigapicha wetu.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani