Wahasibu Muhimbili wadaiwa kuomba rushwa mil. 1.5
WAHASIBU wasaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 1.5.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Wahasibu wajichotea Sh300 mil za Shirecu
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Maafisa Wahasibu na wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini watakiwa kujiepusha na vishawishi vya rushwa!
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Hakimu anaswa na Takukuru kwa tuhuma za kuomba rushwa
11 years ago
Habarileo28 Jun
Wadaiwa kuiba sukari ya mil. 90/-
WATU 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Daer es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa mifuko 1,312 ya sukari yenye thamani ya Sh milioni 90.5.
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Walimu Mwanza wadaiwa kufuja mil. 33.6/-
JESHI la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa wilayani Misungwi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za Serikali sh. milioni 33.6. Kamanda wa Polisi mkoa, Valentino Mlowola aliwataja...
10 years ago
Habarileo12 Oct
Muhimbili watenga mil 80/- za utafiti
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili imetenga Sh milioni 80 katika mwaka 2014/2015 kwa ajili ya kufanya utafiti kwa lengo la kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa hospitalini hapo.
9 years ago
Habarileo05 Dec
Mil. 11 za sherehe zaokolewa Muhimbili
UONGOZI wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Sayansi na Tiba Muhimbili(Muhas) umefuta sherehe ya kujipongeza kwa ajili ya wanataaluma na wageni wengine waalikwa baada ya mahafali ya tisa ya chuo hicho yaliyofanyika jana.