Muhimbili watenga mil 80/- za utafiti
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili imetenga Sh milioni 80 katika mwaka 2014/2015 kwa ajili ya kufanya utafiti kwa lengo la kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa hospitalini hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Dec
Mbarali watenga mil 4.4/- kukarabati madaraja
HALMASHAURI ya wilaya ya Mbarali imelazimika kutenga Sh milioni 4.4 ikiwa ni bajeti ya dharura kwa ajili ya ukarabati wa madaraja mawili yaliyoharibika kufuatia mbao kuoza.
9 years ago
Vijimambo06 Sep
JIMBO LA ILALA WATENGA MIL 300 KUKOPESHA WAJASILIAMALI
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Ilala, Mussa Hassan Zungu amemweleza mgombea...
9 years ago
Dewji Blog07 Sep
Jimbo la Ilala watenga Mil 300 kukopesha wajasiriamali
Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akisalimiana na baadhi ya viongozi alipowasili Jimbo la Ukonga kufanya mkutano wa kampeni eneo la Kipawa jijini Dar es Salaam.
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Ilala, Mussa Hassan Zungu amemweleza mgombea mwenza nafasi ya urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu kuwa jimbo hilo limetenga kiasi cha shilingi milioni 300 kwa ajili ya kuwakopesha wajasiriamali wanawake na vijana kupitia vikundi vyao.
Zungu aliyasema hayo alipokuwa akitoa...
9 years ago
Habarileo05 Dec
Mil. 11 za sherehe zaokolewa Muhimbili
UONGOZI wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Sayansi na Tiba Muhimbili(Muhas) umefuta sherehe ya kujipongeza kwa ajili ya wanataaluma na wageni wengine waalikwa baada ya mahafali ya tisa ya chuo hicho yaliyofanyika jana.
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Wafanyakazi Muhimbili walilia Sh800 mil zao
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wahasibu Muhimbili wadaiwa kuomba rushwa mil. 1.5
WAHASIBU wasaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 1.5.
9 years ago
StarTV23 Nov
Mafuta Kitalu Cha Eyasi Wembere  Serikali kutumia Sh. Mil. 14 kwa utafiti
Serikali imekusudia kutumia kiasi cha shilingi milioni 14 kufanikisha utafiti wa awali wa mafuta katika eneo la kitalu cha Eyasi Wembere kwenye mikoa ya Arusha, Singida, Shinyanga, Simiyu, Tabora na baadae Mandawa mkoani Lindi.
Tayari utafiti huo utaanza Novovemba 23 mwaka huu chini ya shirika la ndege Kampuni ya C-GG kutoka nchini Canada linalojihusisha na mambo ya utafiti wa mafuta na gesi.
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania TPDC Dr. James Mataragio wakati...
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Manyara watenga bajeti ya mabilioni ya fedha
10 years ago
Habarileo15 Aug
WHC watenga bilioni 400/- ujenzi wa nyumba
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga Sh bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi wa Serikali katika mikoa 13 nchini. Ujenzi wa nyumba hizo unatarajiwa kuanza Oktoba mwaka huu.