Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi Muhimbili walilia Sh800 mil zao

Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wameulalamikia uongozi wa hospitali hiyo kwa kushindwa kuwalipa fedha zao na kuzitumia kinyume na utaratibu uliopangwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mil. 11 za sherehe zaokolewa Muhimbili

UONGOZI wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Sayansi na Tiba Muhimbili(Muhas) umefuta sherehe ya kujipongeza kwa ajili ya wanataaluma na wageni wengine waalikwa baada ya mahafali ya tisa ya chuo hicho yaliyofanyika jana.

 

11 years ago

Habarileo

Muhimbili watenga mil 80/- za utafiti

HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili imetenga Sh milioni 80 katika mwaka 2014/2015 kwa ajili ya kufanya utafiti kwa lengo la kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa hospitalini hapo.

 

11 years ago

Habarileo

Wahasibu Muhimbili wadaiwa kuomba rushwa mil. 1.5

WAHASIBU wasaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 1.5.

 

10 years ago

Mtanzania

Wafanyakazi Muhimbili walazimika kuchangia damu

TUNU NASSOR NA MWANTUMU SAADI,
DAR ES SALAAM
KUTOKANA na uhaba wa damu ulioikumba Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa, wamelazimika kuchangia damu kunusuru maisha ya wagonjwa .

Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa hospitali hiyo, Aminieli Aligaesha, alisema wamelazimika kutumia wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa kama chanzo cha ndani na kwa siku ya jana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tughe: Muhimbili tatueni changamoto za wafanyakazi

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe), John Sanjo, ameutaka uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam, kuhakikisha wanatatua haraka changamoto na...

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI HOSPITALI YA MUHIMBILI WAFANYA USAFI

VE1 Baadhi ya Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakifanya usafi leo nje ya jengo la Kibasila akiwamo Mwenyekiti wa Khoja Shia Ithnashery Jamaat ya jijini Dar es Salaam, Dewji Azim (katikati). VE2 Kushoto ni Mwanasheria wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Veronica Hillary, Mkuu wa Idara ya Upasuaji,  Dk Julieth Magandi, Mkurugenzi wa Upasuaji, Dk John Kimario na Mwenyekiti wa Khoja Shia Ithnashery Jamaat ya jijini Dar es Salaam, Dewji Azim wakifanya usafi leo Desemba 9...

 

11 years ago

GPL

WAGONJWA WASUBIRI KUTAMBULIWA NA NDUGU ZAO HOSPITALINI MUHIMBILI

KAMERA yetu jana ilitembelea Taasisi ya Tiba na Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), wodi za…

 

9 years ago

StarTV

Upunguzwaji Wafanyakazi Acacia  Serikali yaombwa kunusuru  ajira zao

 

Chama Cha wafanyakazi wa Tasnia ya Nishati na Madini nchini NUMET  kimeiomba serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dokta John Pombe Magufuli  kuingilia kati  na kunusuru ajira za wafanyakazi zaidi ya 1000 wanaotarajia kupunguzwa mwishoni mwa mwaka huu katika Kampuni ya ACACIA

Chama hicho kimelazimika kuiomba serikali kutokana na kitendo cha kampuni hiyo kuandaa mpango wa  kupunguza wafanyakazi ambao wanategemea kuendesha maisha yao kutokana na kufanya kazi katika mgodi huo

Katibu mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

MH.SITTA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA BANDARI YA TANGA,WAELEZA CHANGAMOTO ZAO.

 Mhe Samuel Sitta akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi mkuu Ndg Awadh Massawe. Mhe Samuel Sitta pia alipata fursa kuongea na wafanyakazi wa Bandari ya Tanga ambapo walieleza changamoto zinazowakabili wafanyakazi hao ikiwepo kodi inayokatwa kwenye mishahara ni kubwa ukilinganisha na kipato na  Pia Mhe Sitta ameteua wajumbe wapya wa bodi ya bandari

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani