Mil. 11 za sherehe zaokolewa Muhimbili
UONGOZI wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Sayansi na Tiba Muhimbili(Muhas) umefuta sherehe ya kujipongeza kwa ajili ya wanataaluma na wageni wengine waalikwa baada ya mahafali ya tisa ya chuo hicho yaliyofanyika jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Oct
Muhimbili watenga mil 80/- za utafiti
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili imetenga Sh milioni 80 katika mwaka 2014/2015 kwa ajili ya kufanya utafiti kwa lengo la kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa hospitalini hapo.
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wahasibu Muhimbili wadaiwa kuomba rushwa mil. 1.5
WAHASIBU wasaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 1.5.
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Wafanyakazi Muhimbili walilia Sh800 mil zao
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Rais Magufuli aagiza mamilioni ya sherehe ya Bunge yapelekwe Muhimbili
Na Mwandishi Wetu
RAIS John Magufuli ameagiza zaidi ya Sh milioni 200 zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla ya uzinduzi wa Bunge la 11 zipelekwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kwenda kununulia vitanda vya wagonjwa.
Akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bunge la 11 iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Rais Magufuli alisema ni jambo jema kwa wabunge kujinyima ili kuwasaidia wagonjwa walioko Muhimbili.
“Nilipoambiwa zimechangwa Sh milioni 225...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Zaidi ya Mil. 500/- zahitajika sherehe za mwenge Kagera
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amesema zaidi ya sh milioni 500 zinahitajika kukamilisha sherehe za kuwasha mwenge kitaifa, Mei 2, mwaka huu. Kanali Massawe aliwaomba wadau...
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba
![IMG_1426](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1426.jpg)
![IMG_1439](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1439.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJA6h*SaGxqh6X31ZRZzXdQe5H7Yxsd7u0rvjtr5Cf*7wBPHT9v8ZiLlJ6aK6IdLnbhVzQWm0tZ0GEGO6EsOXOMs/gojwa.jpg?width=650)
GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0125-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0126-1024x682.jpg)
………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.