Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tughe: Muhimbili tatueni changamoto za wafanyakazi

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe), John Sanjo, ameutaka uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam, kuhakikisha wanatatua haraka changamoto na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wafanyakazi Muhimbili walazimika kuchangia damu

TUNU NASSOR NA MWANTUMU SAADI,
DAR ES SALAAM
KUTOKANA na uhaba wa damu ulioikumba Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa, wamelazimika kuchangia damu kunusuru maisha ya wagonjwa .

Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa hospitali hiyo, Aminieli Aligaesha, alisema wamelazimika kutumia wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa kama chanzo cha ndani na kwa siku ya jana...

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI HOSPITALI YA MUHIMBILI WAFANYA USAFI

VE1 Baadhi ya Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakifanya usafi leo nje ya jengo la Kibasila akiwamo Mwenyekiti wa Khoja Shia Ithnashery Jamaat ya jijini Dar es Salaam, Dewji Azim (katikati). VE2 Kushoto ni Mwanasheria wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Veronica Hillary, Mkuu wa Idara ya Upasuaji,  Dk Julieth Magandi, Mkurugenzi wa Upasuaji, Dk John Kimario na Mwenyekiti wa Khoja Shia Ithnashery Jamaat ya jijini Dar es Salaam, Dewji Azim wakifanya usafi leo Desemba 9...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi Muhimbili walilia Sh800 mil zao

Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wameulalamikia uongozi wa hospitali hiyo kwa kushindwa kuwalipa fedha zao na kuzitumia kinyume na utaratibu uliopangwa.

 

10 years ago

Michuzi

MH.SITTA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA BANDARI YA TANGA,WAELEZA CHANGAMOTO ZAO.

 Mhe Samuel Sitta akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi mkuu Ndg Awadh Massawe. Mhe Samuel Sitta pia alipata fursa kuongea na wafanyakazi wa Bandari ya Tanga ambapo walieleza changamoto zinazowakabili wafanyakazi hao ikiwepo kodi inayokatwa kwenye mishahara ni kubwa ukilinganisha na kipato na  Pia Mhe Sitta ameteua wajumbe wapya wa bodi ya bandari

 

11 years ago

Mwananchi

Hali si shwari Tughe Taifa

Hali si shwari katika Chama cha Wafanyakazi wa Afya na Serikali Kuu (Tughe), baada ya Baraza lake Kuu la Taifa kuwasimamisha viongozi wakuu hadi mkutano mkuu wa chama hicho utakapoitishwa.

 

10 years ago

Michuzi

Tughe NHIF wamzawadia Humba mil.10

 Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Emmanuel Humba akisalimiana na wafanyakazi wa mfuko wakati wa hafla ya kumuaga ambapo Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe) tawi la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kimemkabidhi zawadi ya sh. milioni 10 aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa mfuko huo, Emmanuel Humba kutokana na kuthamini mchango wake kabla hajastaafu. Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe) tawi la NHIF, Gabriel...

 

5 years ago

CCM Blog

TANZIA- MAMA WA MWENYEKITI TUGHE MKOA WA DAR ES SALAAM

       Enzi za Uhai wake

Mwenyekiti Tughe Mkoa wa Dar es Salaam, Mziwanda Chimwege anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi kilichotokea 21, Februari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo 23, Februari mwili utaondoka Dar es Salaam kuelekea Mkoani Morogoro Wilaya ya Kilosa ambapo mwili utapumzishwa katika nyumba yake ya milele Alasiri ya 23,Februari. Salam ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote walipo. 

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE TUGHE PWANI WATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI

VICTOR MASANGU, RUFIJI
Baadhi ya wananchi Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani wamekosa makazi ya kuishi kutokana na nyumba zao pamoja na maduka  kuzingirwa na maji  ikiwemo wengine kukumbwa na changamoto ya mazao yao mbali mbali  zaidi ya hekta 4000 kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha maafa  hayo ambayo yamepelekea wananchi kuishi katika mazingira magumu  hivyo kupelekea kuishi katika mazingira magumu.

Hayo yalibainishwa  na wananchi hao wakati wa ziara ambayo...

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto

Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani