Tughe: Muhimbili tatueni changamoto za wafanyakazi
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe), John Sanjo, ameutaka uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam, kuhakikisha wanatatua haraka changamoto na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania13 May
Wafanyakazi Muhimbili walazimika kuchangia damu
TUNU NASSOR NA MWANTUMU SAADI,
DAR ES SALAAM
KUTOKANA na uhaba wa damu ulioikumba Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa, wamelazimika kuchangia damu kunusuru maisha ya wagonjwa .
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa hospitali hiyo, Aminieli Aligaesha, alisema wamelazimika kutumia wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa kama chanzo cha ndani na kwa siku ya jana...
9 years ago
Michuzi09 Dec
WAFANYAKAZI HOSPITALI YA MUHIMBILI WAFANYA USAFI


11 years ago
Mwananchi07 Mar
Wafanyakazi Muhimbili walilia Sh800 mil zao
10 years ago
Michuzi
MH.SITTA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA BANDARI YA TANGA,WAELEZA CHANGAMOTO ZAO.



11 years ago
Mwananchi27 Dec
Hali si shwari Tughe Taifa
10 years ago
Michuzi
Tughe NHIF wamzawadia Humba mil.10


5 years ago
CCM BlogTANZIA- MAMA WA MWENYEKITI TUGHE MKOA WA DAR ES SALAAM
Mwenyekiti Tughe Mkoa wa Dar es Salaam, Mziwanda Chimwege anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi kilichotokea 21, Februari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo 23, Februari mwili utaondoka Dar es Salaam kuelekea Mkoani Morogoro Wilaya ya Kilosa ambapo mwili utapumzishwa katika nyumba yake ya milele Alasiri ya 23,Februari. Salam ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote walipo.
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUGHE PWANI WATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI
Baadhi ya wananchi Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani wamekosa makazi ya kuishi kutokana na nyumba zao pamoja na maduka kuzingirwa na maji ikiwemo wengine kukumbwa na changamoto ya mazao yao mbali mbali zaidi ya hekta 4000 kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha maafa hayo ambayo yamepelekea wananchi kuishi katika mazingira magumu hivyo kupelekea kuishi katika mazingira magumu.
Hayo yalibainishwa na wananchi hao wakati wa ziara ambayo...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto