Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahasibu wajichotea Sh300 mil za Shirecu

Chama Kikuu cha Ushirika cha Mkoa wa Shinyanga (Shirecu) kimedai kuwa jumla ya Sh370.82 milioni zimeibwa na wahasibu katika kipindi cha misimu mitatu mfululizo ya mauzo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Yanga wasusa Sh300 mil za udhamini wa Azam wa Ligi Kuu Bara

Uongozi wa Yanga umetakiwa kuandika barua iwapo hawazihitaji fedha za udhamini wa Azam ambazo hadi sasa zimefika Sh300 milioni ili zielekezwe kwenye masuala mengine.

 

11 years ago

Habarileo

Wahasibu Muhimbili wadaiwa kuomba rushwa mil. 1.5

WAHASIBU wasaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 1.5.

 

11 years ago

Mwananchi

Nani anasema Sh300,000 kwa siku hazitoshi?

Hata kabla ya kupita wiki moja tangu Bunge Maalumu la Katiba kuanza rasmi shughuli zake, wajumbe wake wameendelea na vituko kiasi cha kutupa wasiwasi kama kweli wengi wa wajumbe hao wanastahili kutuwakilisha katika chombo hicho kufanya kazi ya kihistoria ya kutunga Katiba Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Ekari 10 zachukuliwa na mradi wa gesi kwa Sh300,000 tu

Wakati Watanzania wakisubiri kufaidika na gesi asilia iliyogunduliwa mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara, rasilimali hiyo sasa imegeuka shubiri kwa baadhi ya wananchi kutokana na maandalizi yake.

 

11 years ago

Mwananchi

MAJI: Mkopo wa Sh300 bil kujenga Bwawa la Kidunda

>Mamlaka ya Maji Safi na Taka Dar es Salaam (Dawasa) imetia saini makubaliano ya mkopo wa bei nafuu na kampuni ya China kwa ajili ya mradi wa bwawa la Kidunda.

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Court Revises Order On Mokiwa Sh300 Million Case


Court Revises Order On Mokiwa Sh300 Million Case
AllAfrica.com
BISHOP Valentino Mokiwa has moved the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam to revise its order, allowing his opponents to prove their alleged 300m/- dehumanising case in his absence. The order sought to be challenged was issued by ...

 

11 years ago

TheCitizen

Judge sues truckers for Sh300 million in crash damages

A high court judge is suing the operators of a trucking operation for Sh300 million in compensatory damages after a crash left her hospitalized and her Toyota Landcruiser totalled.  

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali itumie wahasibu mikataba ya madini’

SERIKALI imeshauriwa kutumia wataalamu wakati wa utiaji saini na usimamizi wa miradi mbalimbali na wawekezaji hususani katika sekta ya madini, wakiwemo wahasibu ili kuziba mianya ya kupunja mapato ya nchi...

 

9 years ago

Mwananchi

Wahasibu 813 wafaulu mitihani ya NBAA

Watahiniwa 813 ambao ni sawa na asilimia 14.3, wamefaulu mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) iliyofanyika Novemba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani