Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu Mwanza wadaiwa kufuja mil. 33.6/-

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa wilayani Misungwi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za Serikali sh. milioni 33.6. Kamanda wa Polisi mkoa, Valentino Mlowola aliwataja...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wadaiwa kuiba sukari ya mil. 90/-

WATU 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Daer es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa mifuko 1,312 ya sukari yenye thamani ya Sh milioni 90.5.

 

9 years ago

Habarileo

Walimu wadaiwa chanzo cha mimba utotoni

BAADHI ya walimu wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wanatuhumiwa kuwa chanzo cha mimba za utotoni kwa kuwarubuni wanafunzi wao huku wakificha takwimu sahihi za wanafunzi waliopatwa na ujauzito.

 

11 years ago

Habarileo

Wahasibu Muhimbili wadaiwa kuomba rushwa mil. 1.5

WAHASIBU wasaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 1.5.

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini

Geita. Wanafunzi wa shule za msingi mkoani Geita wamewalalamikia walimu wao kufanya kazi migodini na kuendesha bodaboda, hali inayosababisha wafeli kutokana na kutofundishwa darasani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Kibaha wadai mil. 30/-

KATIBU wa Chama cha Walimu (CWT) Wilaya ya Kibaha, Elizabeth Thomas, amesema walimu wanakatishwa tamaa ya kufanya kazi kwa bidii kutokana na uhakiki wa madai yao kutokwenda haraka. Thomas alibainisha...

 

11 years ago

Habarileo

Mil.500/- kujenga nyumba za walimu

SERIKALI imetenga Sh milioni 500 kwa halmashauri 41 nchini kwa ajili ya ujenzi wa nyumba bora za walimu. Rais Jakaya Kikwete aliwaambia wananchi wa Tanga, juzi wakati akihutubia Mkutano wa hadhara katika barabara ya Karume.

 

10 years ago

Dewji Blog

Walimu Singida waidai serikali mil 314/-

DSC02785

Baadhi ya wajumbe wa kikao cha mkoa cha kupangia shule wanafunzi waliofaulu mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu,ili kuanza kidato cha kwanza mwakani.Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Kanisa Katoliki mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

WALIMU mkoani Singida wanaidai serikali zaidi ya sh milioni 314 yakiwa ni malimbikizo ya madeni yao mbalimbali ya siku za nyuma kwa vipindi tofauti hadi kufikia Desemba mwaka huu.

Ofisa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatenga mil. 500/- nyumba za walimu

SERIKALI imetenga sh milioni 500 kwa halmashauri 41 nchini kwa ajili ya ujenzi wa nyumba bora za walimu. Rais Jakaya Kikwete alitoa kauli hiyo juzi kwa wananchi wa Tanga wakati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu wapya waandamana Mwanza

ZAIDI ya walimu 50 kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana mkoani hapa, jana waliandamana hadi ofisi za mkurugenzi wa halmashauri kushinikiza kulipwa mshahara wa mwezi uliopita....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani